Ni kwanini Lake Victoria,Nyasa na Tanzganyika hazina Fast Ferries

Hao wanaoishi huko nauli ya 2000 ni kubwa kwao...wamezoea kupanda feri wabebe na mizigo yao
 
Hata kwenye ndege.. Aliwaondoa fast jet akifikiri Air Tanzania itakuwa vizuri..
Hakupenda ushindani kabisa.. Aliweka zaidi ya Bil 300 kurekebisha reli ya kaskazini ni jambo jema lakini hakukuwa na mpango wa kushirikisha wafanyabiashara na wenye viwanda.. Lengo lake moyoni lilikuwa kuwayumbisha watu wa Malori...Reli ipo lakini haitumiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…