Ni Kwanini Mdude Nyagali hakamatwi na hachukuliwi Hatua Kali Kwa Kuendelea Kumchafua Rais Samia Bila Ushahidi?

Ni Kwanini Mdude Nyagali hakamatwi na Kuchukuliwi Hatua Kali Kwa Kuendelea Kumchafua Rais Samia Bila Ushahidi?
 
Alishatekwa, akateswa, akabambikwa vyesi! Hawajamshindwa ila watesi wake hawakuchukuliwa hatua hivyo wanamwacha amalize machungu, wakimkamata itakuwa mwendelezo wa walichokifanya mwanzo!! TUJITATHMINI!
 
Kwa hivyo mnataka kiiila mwananchi asifie na kupongeza tu, kukosoa hamtaki!
Mnadhani hii nchi ni ya baba zenu peke yake eeh
We sifu na kuabudu inatosha, wengine wanakosoa...hayo ndio maisha hatuwezi kufananana wote!
Clip ya Mdude nimeiona, hajatoa tusi hata moja...amemkosoa mama kwa kufumbia macho matukio ya utekaji hasa ktk hotuba yake ya juzi!.
 
Yaan mkuu sasa hivi kuna chawa wa aina mbili! Kuna Chawa Passive halafu kuna Chawa Active! Hawa waliopo huku mitandaoni ni Chawa Passive! Wanasifia kila kitu ambacho Samia anakifanya ili waonekane wanaunga mkono
 
Ukitaka kutukanwa, kudhalilishwa, kuudhiwa kuwa mwanasiasa. Ikiwa unataka kuheshimika kuwa mtawa! Ukubwa jalala...
Kabsa Mkuu! Ukienda ukajichimbia Monastery unaamka unasali na kuomba unadhani nani atakufuata kukuuliza kuhusu unachokifanya!
 
Nadhani Serikali inapaswa kujilaumu yenyewe!
Mdude amekuwa totured vya kutosha kisaikolojia na kimwili,siamini kama akili yake iko sawa!
Msimlaumu mwacheni aseme atakavyo!
Akili yake haipo sawa kabisa.maana mwenye akili Timamu hawezi akawa anaropoka hovyo hovyo tu
 
Unatakiwa unapotoa shutuma au tuhuma uweke na ushahidi na siyo kuropoka ropoka Hovyo hovyo tu.
 
Mdude 1 ni sawa na wanaccm 18,000
Mungu mwenyewe hajawahi kuwaua ila nyie mnachukua jukumu la kuua..
Utaanzaje kunifananisha na Mdude wakati mimi ni mwenye akili Timamu Wakati mdude ndio kama ambavyo nyote mnajuwa hali yake
 
Ukimkamata mtu unamuongezea umaarufu maradufu, na pia itakuwa wanamuona ana changamoto fulani ya afya ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…