GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE nimeshakugumia (kutana nawe kwa bahati mbaya) zaidi ya mara Saba (7) katika Loji na Gesti mbalimbali ukitoka Kubanduliwa na Wanaume tofauti tofauti na nikakuhakikishia kuwa usiwe na wasiwasi nitakutunzia Siri zako hizo lakini bado huamini na unahangaika kwa kila namna Kunitega ili nikubandue hadi sasa naona Kero.
Yaani hujui tu kuwa Sifa Kuu ya Wanamume wa Mkoani Mara (Musoma) ni kuwa Wasiri na Watu wenye Vifua vya Uvumilivu?
Au labda unadhani Mimi GENTAMYCINE ni ambao hawana Ujasiri wa Kutunza Siri na ni Wambea Wambea kiasi kwamba hata katika Taasisi Nyeti (za Kimedani) huwa hawatakiwi na hata ukiwakuta huko watakuwa ni Wafagizi au Watandika Vitanda tu katika Mahanga?
Oya Watani zangu mpo? Kazi ipo leo.
Yaani hujui tu kuwa Sifa Kuu ya Wanamume wa Mkoani Mara (Musoma) ni kuwa Wasiri na Watu wenye Vifua vya Uvumilivu?
Au labda unadhani Mimi GENTAMYCINE ni ambao hawana Ujasiri wa Kutunza Siri na ni Wambea Wambea kiasi kwamba hata katika Taasisi Nyeti (za Kimedani) huwa hawatakiwi na hata ukiwakuta huko watakuwa ni Wafagizi au Watandika Vitanda tu katika Mahanga?
Oya Watani zangu mpo? Kazi ipo leo.