Ni kwanini mwanamke akikataliwa inakuwa nongwa?

Ni kwanini mwanamke akikataliwa inakuwa nongwa?

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Nipo mkoani kwa ajili ya kazi maalum nikaona si vibaya nipange nyumba kabisa kwa sababu kazi hii inaweza kuchukua muda mrefu kumalizika.

Kuna mama mmoja ambae wakati nahamia hapa nilimkuta kwa hiyo namchukulia kama mpangaji mzoefu wa nyumba hii. Huyu mama ana watoto wanne anaishi na kibenten chake amacho hiki kibenten sio baba wa watoto hawa.

Huyu mama kuna siku aligonga hodi kwangu nikamfungulia nikamkaribisha kwenye kiti akaanza kuongea mambo meengi lakini moja ya mambo aliyoniambia ni kuwa toka ameniona siku ya kwanza wakati nahamia hapa alitokea kunipenda kwa hiyo ananihitaji sana kimapenzi.

Nilimsikiliza na mwisho wa siku sikumpa jibu lolote lile. Ile toka siku ile huyu mama ananifanyia vituko balaa, mara anawakataza wanae kuja kwangu eti nitawabaka kwakuwa hapa siishi na mwanamke.
 
Nipo mkoani kwa ajili ya kazi maalum nikaona si vibaya nipange nyumba kabisa kwa sababu kazi hii inaweza kuchukua muda mrefu kumalizika.

Kuna mama mmoja ambae wakati nahamia hapa nilimkuta kwa hiyo namchukulia kama mpangaji mzoefu wa nyumba hii. Huyu mama ana watoto wanne anaishi na kibenten chake amacho hiki kibenten sio baba wa watoto hawa.

Huyu mama kuna siku aligonga hodi kwangu nikamfungulia nikamkaribisha kwenye kiti akaanza kuongea mambo meengi lakini moja ya mambo aliyoniambia ni kuwa toka ameniona siku ya kwanza wakati nahamia hapa alitokea kunipenda kwa hiyo ananihitaji sana kimapenzi.

Nilimsikiliza na mwisho wa siku sikumpa jibu lolote lile. Ile toka siku ile huyu mama ananifanyia vituko balaa, mara anawakataza wanae kuja kwangu eti nitawabaka kwakuwa hapa siishi na mwanamke.
Sasa kwa nini umemkatalia
 
Mzee habari yako karibu sana mtaani huyo mama tunajipigiaga tu, wewe ishi nae tu siunajua watu wakusini viuno feni
 
Ni lazima kila mwanamke atakaekutaka umkubalie mkuu...
Mkuu kutakiwa na mwanamke na kutamkiwa wazi ni jambo adimu sana hilo.

Wengi akikutaka huishia kujibaraguza kwa ishara za kujipitisha pitisha, cheko mwanana na tabasamu pana za kukuunga mkono kila uongealo, zawadi za chakula ama pesa nk, lakini kutamkiwa wazi ni nadra sana.

Sasa basi kama haumtaki ulitakiwa umkatae kikubwa na siyo "kunyuti", ukimwacha njia panda.

Na kukataa kikubwa ni kujifanya umemkubalia, ila utekelezaji unakuwa ni sifuri, hadi atakapokata tamaa mwenyewe.

Mbinu hii hutumiwa pia na wanawake kupiga chini wanaume.
 
Nipo mkoani kwa ajili ya kazi maalum nikaona si vibaya nipange nyumba kabisa kwa sababu kazi hii inaweza kuchukua muda mrefu kumalizika.

Kuna mama mmoja ambae wakati nahamia hapa nilimkuta kwa hiyo namchukulia kama mpangaji mzoefu wa nyumba hii. Huyu mama ana watoto wanne anaishi na kibenten chake amacho hiki kibenten sio baba wa watoto hawa.

Huyu mama kuna siku aligonga hodi kwangu nikamfungulia nikamkaribisha kwenye kiti akaanza kuongea mambo meengi lakini moja ya mambo aliyoniambia ni kuwa toka ameniona siku ya kwanza wakati nahamia hapa alitokea kunipenda kwa hiyo ananihitaji sana kimapenzi.

Nilimsikiliza na mwisho wa siku sikumpa jibu lolote lile. Ile toka siku ile huyu mama ananifanyia vituko balaa, mara anawakataza wanae kuja kwangu eti nitawabaka kwakuwa hapa siishi na mwanamke.
Hahaha
 
Back
Top Bottom