Unajuwa kuna wakati watu wenye akili lazima tujiulize na kujijibu maswali magumu ambayo hakuna Mtu anakuja hapa kujibu wengi wanasifia na kutetea mambo uwenda mwisho wake hawaujuwi.
Jambo la Kwanza nilazima washauri wa Sera na mipango ya chama na serikali mfike mahali mkumbuke uchumi hauna miujiza wala maombi ila uchumi wa Leo unaongozwa na taratibu mbili tu katika solo Yani demand and supply. Hii hazidanganyi.
Ukizuwia mzunguko wa pesa ktk nchi maana yake unaenda kushusha bei ya bidhaa while watu wako wanakuwa na ukata mkali mwisho unauwa purchasing power PP Jambo linaenda kufanya watu wafunge bihashara nahili sote tumeliona.
Pili serikali inapojikita katika kujenga miradi mikubwa kama SGR, midege, vinu vya kuzalisha umeme hapo unaenda kukomba hazina yote ya Taifa + mikopo Jambo linaenda kufanya serikali kushindwa panga bajeti nyingine kama kuajiri, kupandisha madaraja, manunuzi ya dawa muhim, na kupandisha thaman ya USD why Una nunua Zaid nje kuliko unavyo uza tunasema kunakubwa na unequal balance of payment BOP.
Tatu katika project yeyote kuna kitu tuna same return to investment hii no hesabu inayotumika ku calculate muda mradi utarudisha pesa umewekeza sina uhakika na sidhani kama ktk miradi yote hii mikubwa kuna mahali ambapo serikali imetuambia return itakuwa lini na uwenda ndio maana hii mikataba uwenda haipo wazi kivile. Nahapa kama mtakuwa mnakumbuka baada ya mauza uza ya Lowassa na rich mond kukawa na maazimio Kuwa serikali isiingie mkataba bila kwenda bungeni sina uhakika kama mikataba hii ya ma Trillion kama serikal ilipeleka bungeni wakaipitia sijuwi walimtumia vifungu gani ila nadhan hii inawapa nguvu wapinzan kuongea.
Nne kutokana na hayo nimeya andika Kwa ufupi ndio Siri ya Kwa nn mapingamizi nimakali Kwa serikali ya awamu ya tano.
Jambo linapigiwa kelele nikuwa hii miradi isije Kuwa white elephant kutokana na usiri.
Jambo la Kwanza nilazima washauri wa Sera na mipango ya chama na serikali mfike mahali mkumbuke uchumi hauna miujiza wala maombi ila uchumi wa Leo unaongozwa na taratibu mbili tu katika solo Yani demand and supply. Hii hazidanganyi.
Ukizuwia mzunguko wa pesa ktk nchi maana yake unaenda kushusha bei ya bidhaa while watu wako wanakuwa na ukata mkali mwisho unauwa purchasing power PP Jambo linaenda kufanya watu wafunge bihashara nahili sote tumeliona.
Pili serikali inapojikita katika kujenga miradi mikubwa kama SGR, midege, vinu vya kuzalisha umeme hapo unaenda kukomba hazina yote ya Taifa + mikopo Jambo linaenda kufanya serikali kushindwa panga bajeti nyingine kama kuajiri, kupandisha madaraja, manunuzi ya dawa muhim, na kupandisha thaman ya USD why Una nunua Zaid nje kuliko unavyo uza tunasema kunakubwa na unequal balance of payment BOP.
Tatu katika project yeyote kuna kitu tuna same return to investment hii no hesabu inayotumika ku calculate muda mradi utarudisha pesa umewekeza sina uhakika na sidhani kama ktk miradi yote hii mikubwa kuna mahali ambapo serikali imetuambia return itakuwa lini na uwenda ndio maana hii mikataba uwenda haipo wazi kivile. Nahapa kama mtakuwa mnakumbuka baada ya mauza uza ya Lowassa na rich mond kukawa na maazimio Kuwa serikali isiingie mkataba bila kwenda bungeni sina uhakika kama mikataba hii ya ma Trillion kama serikal ilipeleka bungeni wakaipitia sijuwi walimtumia vifungu gani ila nadhan hii inawapa nguvu wapinzan kuongea.
Nne kutokana na hayo nimeya andika Kwa ufupi ndio Siri ya Kwa nn mapingamizi nimakali Kwa serikali ya awamu ya tano.
Jambo linapigiwa kelele nikuwa hii miradi isije Kuwa white elephant kutokana na usiri.