Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nilicho fanya kwanza kinacho jadiliwa kiwe wazi, kwa kuwa ameandika kwa ufupi, baada ya hapo tuende kidogo kidogo na tufike sehemu yeye ataelewa na mimi nitajua malalamike yake.
Hili ni eneo mimi nipo Alhamdulilah, nafikiri nina uwezo nalo tuu sana. Hata wewe mbishi mbishi utafaidika.
Tujifunze kujaribu kuelimishana na sio kushindana, hili sio jukwa la kushindana ni kuelimishana. Na ndio ubora wa JF ila watu kama ninyi mnataka kuuharibu.
Hatuhitaji kiingereza chako maana sio kizuri, ongea hoja kwa kiswahili tena fasaha, ili kila mtu aone unachoongea na kupima ubora au usahihi wa hoja zako. Halafu ww sio SI Unit wa michango bora ya hoja za hapa jukwaani. Anayetaka kuharibu jukwaa kuna sheria anapewa ban, wala hilo sio jukumu lako. Ukiona mchango wowote unaotezwa utu wa member yoyote, kuna kitufe(report button) cha kutoa taarifa ya ukiukwaji wa sheria za jukwaa. Hoja nyingine zozote ni halali, hivyo utapaswa upambane na hali yako. Sasa jikite kwenye post namba moja, kwanini hali za wananchi zimekuwa ngumu kwa kiwango hiki?