NI kwanini serikali ya kenya isiondoe majeshi yake nchini somalia kuepukana na matukio ya kushambuliwa na al shababu

kitendo cha magaidi kubadili gia na kudai wamefanya tukio hilo sababu ya trump kuitambua jerusalem kwa macho ya ziada ni kuwa nchi zote zenye ushirikiano na israel kwa ukanda huu zijiandae vilivyo

jiwe kuu na yeye si ameanzisha ushirikiano na israel?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…