MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Je,....
1. Ufalme wa Mbwana Samatta unamtesa?
2. Anataka kutuonyesha kuwa Mbwana Samatta ni cha Mtoto tu Kwake?
3. Huamua Kumsusia Timu Kimakusudi Mbwana Samatta?
4. Hampendi Mbwana Samatta?
5. Usimba na Uyanga umewaathiri kwakuwa Msuva ni Yanga SC na Samatta ni Simba SC?
6. Anataka Kuufuta rasmi Ufalme wa Mbwana Samatta na sasa aanze Kuimbwa na Kutukuzwa Yeye?
7. Ana Upendo na Urafiki wa Kinafiki dhidi ya Mbwana Samatta ndani ya Kikosi cha Taifa Stars?
Majibu yenu Muhimu nayasubiri sana.
1. Ufalme wa Mbwana Samatta unamtesa?
2. Anataka kutuonyesha kuwa Mbwana Samatta ni cha Mtoto tu Kwake?
3. Huamua Kumsusia Timu Kimakusudi Mbwana Samatta?
4. Hampendi Mbwana Samatta?
5. Usimba na Uyanga umewaathiri kwakuwa Msuva ni Yanga SC na Samatta ni Simba SC?
6. Anataka Kuufuta rasmi Ufalme wa Mbwana Samatta na sasa aanze Kuimbwa na Kutukuzwa Yeye?
7. Ana Upendo na Urafiki wa Kinafiki dhidi ya Mbwana Samatta ndani ya Kikosi cha Taifa Stars?
Majibu yenu Muhimu nayasubiri sana.