Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Mama wakwe ndo tatizo. Wasahiliswahili sana especially wapogoro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga NDOA wakati mnaiishi tayari ni kumkebehi Mungu!!
NDOA zilifungwa kea mabikira pekee na Kama bikra haipo Basi binti anauawa kwa uzinzi au anarudishwa kwao enzi hizo!!
Siku hizi NDOA zinafungwa na wazinzi watupu KWA KIGEZO wametubu!mzinzi au kijana alieipoteza bikra yake hapaswi kupongezwa kwa sherehe ya ndoa!!!
Bali waishi tu Hivyo Hivyo hata mahari hawapaswi kutoa au kupokea maana wameshachakaa!!
Ndoa hazidumu coz ni laana kutoka KWA MUNGU kwa wazinzi kufungishwa NDOA!!
Ndio màana hazidumu!!
Mhh , mbona kuna watu wengi wameolewa bikra na ndoa zao zimekufa, na wengine walizaa kwanza na ndoa zimedumu hadi leo. Halafu haya mambo ya kumsingizia shetani tuyaache, tuwajibike kwenye ndoa zetu na si vinginevyo.Kufunga NDOA wakati mnaiishi tayari ni kumkebehi Mungu!!
NDOA zilifungwa kea mabikira pekee na Kama bikra haipo Basi binti anauawa kwa uzinzi au anarudishwa kwao enzi hizo!!
Siku hizi NDOA zinafungwa na wazinzi watupu KWA KIGEZO wametubu!mzinzi au kijana alieipoteza bikra yake hapaswi kupongezwa kwa sherehe ya ndoa!!!
Bali waishi tu Hivyo Hivyo hata mahari hawapaswi kutoa au kupokea maana wameshachakaa!!
Ndoa hazidumu coz ni laana kutoka KWA MUNGU kwa wazinzi kufungishwa NDOA!!
Ndio màana hazidumu!!
Wabongo kwa kuhukumu hawajambo, itadhani wao ni wasafi , kumbe wanaongea tu sababu hatujui wanachofanya nyuma ya pazia.Mungu angekuwa hivo wangebaki viumbe wengine tu sio binadamu