Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Mifano ni mingi sana humu nchini.
Hivi shida hasa huwa ni nini, licha ya kujiapiza na kusifiana kupitiliza mtaani, mitandaoni na kwenye vyombo vya habari mpaka kutoa machozi, lakini mwisho wa siku ndoa au uhusiano una sambaratika vizuri tu.
Huwa ni macho ya watu wabaya au maombi mabaya ya watu yanafanya kazi? Maana kuna wengine ukiwaona tu jinsi wanavyosifiana, hadi unasema wamezaliwa pamoja.
Lakini maadui na wajuvi wa kusoma mambo ya mahusiano huwahesabia siku, wiki na miezi tu wachumba wanatifuana dah!
Kumbe ni afadhalli kuinjoy kimyakimya na likibuma linabuma kimyakimya right?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Hivi shida hasa huwa ni nini, licha ya kujiapiza na kusifiana kupitiliza mtaani, mitandaoni na kwenye vyombo vya habari mpaka kutoa machozi, lakini mwisho wa siku ndoa au uhusiano una sambaratika vizuri tu.
Huwa ni macho ya watu wabaya au maombi mabaya ya watu yanafanya kazi? Maana kuna wengine ukiwaona tu jinsi wanavyosifiana, hadi unasema wamezaliwa pamoja.
Lakini maadui na wajuvi wa kusoma mambo ya mahusiano huwahesabia siku, wiki na miezi tu wachumba wanatifuana dah!
Kumbe ni afadhalli kuinjoy kimyakimya na likibuma linabuma kimyakimya right?🐒
Mungu Ibariki Tanzania