GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna nchi Moja (nimeisahau kwa sasa) nimeambiwa recruiting yao kuingia huko ni mpaka uwe na 'Characters' zifuatazo:
1. Failure Academically
2. Ukiwa Msomi basi ujue Kujipendekeza
3. Uwe na God Fathers wengi huko
4. Uwe Mnafiki na Mfitini
5. Uwe Member wa Chama Dola
6. Ujue Kujiroga na Kuroga Wenzako
7. Uwe na Mapenzi ya Kuua kutoka Moyoni
Kama kuna nchi ambazo GENTAMYCINE nasifia mno 'recruiting' zao za Watendaji wa Usalama wa Taifa (Manjagu) duniani ni Tanzania, Israel, France, US, Rwanda, Cuba, Bulgaria na DPRK (North Korea) na pongezi nyingi sana kwao.
1. Failure Academically
2. Ukiwa Msomi basi ujue Kujipendekeza
3. Uwe na God Fathers wengi huko
4. Uwe Mnafiki na Mfitini
5. Uwe Member wa Chama Dola
6. Ujue Kujiroga na Kuroga Wenzako
7. Uwe na Mapenzi ya Kuua kutoka Moyoni
Kama kuna nchi ambazo GENTAMYCINE nasifia mno 'recruiting' zao za Watendaji wa Usalama wa Taifa (Manjagu) duniani ni Tanzania, Israel, France, US, Rwanda, Cuba, Bulgaria na DPRK (North Korea) na pongezi nyingi sana kwao.