Ni kwanini Vibao vyao 50kph vimetoweka kwenye Barabara za Shinyanga?

Ni kwanini Vibao vyao 50kph vimetoweka kwenye Barabara za Shinyanga?

imhotep

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
55,997
Reaction score
88,219
Wadau tunaambiwa tutii sheria na sisi watumiaji wa barabara tunatii kweli kweli.

Tatizo nililoliona katika Mkoa wa Shinyanga ni kwamba alama na Ishara karibia zote zenye kuonyesha 50kph zimeng'olewa na Traffic Police wapo.

Cha kushangaza bado wanawakamata Madereva kwa Overspeeding je huu ni uungwana?

Mikoa mingine yote ina ishara kasoro Shinyanga.
 
Unapotoa vibao vya speed limit unawasababishia Madereva stress wasijue speed limit inaanzia wapi na kuishia wapi.

Ombi langu kwa RTO wa Mkoa wetu adhimu wa Shinyanga afuatilie hii kero.
 
Mkuu umejuaje kua hizo alama zimeng'olewa?

Pengine hazikufungwa vizuri na wahusike na vikatolewa na upepo mkali.
 
Unapotoa vibao vya speed limit unawasababishia Madereva stress wasijue speed limit inaanzia wapi na kuishia wapi.

Ombi langu kwa RTO wa Mkoa wetu adhimu wa Shinyanga afuatilie hii kero.
Siyo shinyanga tu, maeneo kadhaa nimeona kile kibao cha round hakipo ila nguzo yake ipo!!

Ukweli ni kwamba, wananchi ndiyo wanaviiba..

Yote kwa yote, mamlaka inajukumu la kuhakikisha vipo haijalishi nani kaviondoa!!

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Daladala za baiskeli na vibao vya speed wapi na wapi mzee?Kajaga loloooo
 
Back
Top Bottom