Ni kwanini Viongozi Serikalini wakilazwa Mzena Hospital huwa tunafichwa, ila wakifa tu tunaambiwa Walilazwa hapo Mzena Hospital?

Kuna watu hawakukuelewa mara ya kwanza ulipoleta bandiko lako, lakini kwa sasa wanakiri wewe ni Kionambali wa JF.
 
Yametimia. Dini zinatuambia tuishi kama wasafiri lakini watu hatuelewi. Popo wamepata makazi.CCM hawawezi kukumilisha hata miradi miwili.
 
well said
 
Duuu kuna mdau alileta mada kuhusiana na hii hospitali wiki kama mbili zilizopita alijifanya anauliza kutaka kujua hii hospitali iko wapi. Bila shaka sasa napata jibu kwamba huyu ndugu alikuwa akifahamu kilichokuwa kinaendelea juu ya ukimya Wa Mh.Rais japo Kwa bahati mbaya Mods walikula kichwa ule Uzi. Bila shaka nao walikuwa wakijua kilichokuwa kikiendelea juu ya ukimya Wa Mh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gentamycine bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…