Ni kwanini walimu wa kujitolea wananyanyaswa mno na walimu wajiriwa hasa kwenye shule za serikali?

Ni kwanini walimu wa kujitolea wananyanyaswa mno na walimu wajiriwa hasa kwenye shule za serikali?

Walimu waajiriwa wengine hufika hatua ya kuwaponda walimu wa kujitolea mbele ya wanafunzi kwamba wao sio lolote ndo maana wanafunzi wanawadharau hata akitaka kumwadhibu mwanafunzi anamgomea.
Huyo mwalimu anayefanya hivyo atakuwa ni mjinga kama ww tu ...maana hata huu ulioandika hapa ni uongo mtupu.
 
Japo sio shule zote ila shule nyingi hakuna mwalimu anayedhalauliwa na kunyanyasika kama mwalimu wa kujitolea sio na walimu hata wanafunzi pia baadhi ya wanafunzi wakijua mwalimu wa kujitolea huwa wanamdharau.

Tukianzia swala la malipo unakuta wazazi wanachanga buku buku kwa ajiri ya walimu wa kujitolea lakini lakini katika lile fungu mkuu wa shule,makamu wa shule, mkuu wa idara, katibu wa wazazi wanagawana zile hela alafu walimu wa kujitolea wanapewa elfu 30 au 20 kwa mwezi kama posho ya kazi.

Mwalimu wa kujitolea akiwa na program zake za kufundisha masomo ya ziada walimu waajiriwa wanamwingilia na kucuruga program zake Kisha wao kuichukua hiyo program.

Walimu waajiriwa wengine hufika hatua ya kuwaponda walimu wa kujitolea mbele ya wanafunzi kwamba wao sio lolote ndo maana wanafunzi wanawadharau hata akitaka kumwadhibu mwanafunzi anamgomea.

Haya mambo imefika hatua kumekuwa na makundi ya walimu wanajitolea na walimu waajiriwa Hawa waajiriwa wanajiona super classic kuliko wanajitolea.

Ni mengi ya kusema acha niishie hapa.
kujitolea kwa angalau mwaka 1 baada ya kumaliza chuo siyo mbaya ila kujitolea zaidi ya mwaka1 ni ujinga aheri usingelisoma
 
Sijui akili za watu siku hizi zimekuwaje, ila nadhani ni "Trauma" kwa sababu ya ugumu wa maisha. Inawezekanaje una 'hukumu' moja kwamba wanateswa?

Huoni kama wewe ndio wateseka? Si kila 'Intern' hata kwa (Walimu) anateswa, mimi nimejitolea, miaka 2 consecutively na sikuteswa, kwanini una 'generalize' tabia ya waajiri wawili/watatu kuwa tabia ya wote?

Kuna watu wanafundisha kwa kujitolea kama Wameajiriwa, issue ni kwamba, kwenye kada ya Elimu unatoa service, you don't sell it, hatupo kwenye nchi inayo uza ujuzi ndio mana kuna haya masihara ya "Elimu Bure" kwa sababu tumezoea vya bure "Of course" ndio mana kama hali za Walimu waajiriwa ni mbaya? Vipi kuhusu hao Wajaofanya internship?

Swali lako linge specify taarifa Maalumu.
 
Mimi nafanya hio kazi walimu wananijali na wananitegemea japo wazazi wanalipa kiugumu lakini walimu wale wamenilea kama mtoto wao "sababu ni mdogo kwao" na mara zote kazi nyingi na maswali Mengi wanayoshindwa nawasaidia au mada wanazoshindwa kufundisha vizuri naclear na mwaka Jana shule imepandisha ufaulu wanatamani hata waniweke kwenye system ila inashindikana sababu sjasomea ualimu inategemea na kituo na hao walimu jishushe na ishi maisha Yako kumbuka upo kwenye kipindi Cha transition kudharauliwa ni kawaida tu katika utafutaji pambana we mkubwa we ni binadamu
ila kama unapenda kufundisha bado una nafasi ya kutafuta leseni ya ualimu sio lazima uwe umesomea ualimu hata.
 
Hadi wanafunzi wanakudharau mkuu? Wew hyo n haki yako,ukiona dogo anadharau mkande,ticha akikudharau kula buyu had kukuongelesha wawe wanajipanha
Ukijichekesha sana watakuzoea
 
Kuna mmoja anajitolea anaenda Mwaka wa 4 huu analipwa laki per month.Si Bora aangalie inshu zingine tu.Unajitolea mpaka mvi zinatoka kichwani si upumbavu huu.
 
Kuna mmoja anajitolea anaenda Mwaka wa 4 huu analipwa laki per month.Si Bora aangalie inshu zingine tu.Unajitolea mpaka mvi zinatoka kichwani si upumbavu huu.
Dah changamoto ila utakuta iyo laki kwake kubwa..
 
Back
Top Bottom