ngoja waje na mapovu.... Jiandae kupokea za uso
Hahaha...eti wanafumba macho kwa viganja vyaoWanaume wa dar wakiangalia movie scene za kutisha wanafumba uso na viganja vyao vya mikono wengine hutoa sauti "Aaawww, oooh my gosh...!!! I can't watch this, it's so scary"
Mwaka Jana nilijikuta tuu nimeingia huko kweny kumbi ya cinema kwa influence ya wenyeji wangu wa dar nikakutana na huo ufala tangia siku hiyo nimejiapiza kutoenda tena sehemu za kifedhuli hizi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ngoja waje na mapovu.... Jiandae kupokea za uso
Ditermine [emoji117] Determinehii ni moja ya thread za kijinga kabisa hata sijui umefikiria nini
hivi kuangalia series kuna ditermine uanaume,nakuvua nyota moja
Nakwenda_Zimbabwe
Unaweza ukaniambia..huo utafiti sample size, sample unit zipi walitumia bila kusahau methodologies zilizo tumika ili kuufanya huo utafiti uwe na validity
asante kwa masahihishoDitermine [emoji117] Determine
Kwani ni wapi nimesema inadetermine uanaume?
Mbona povu hivyo?
sasa unataka kuanza kubishana na ukweli kuwa dar kuna masababiUnaweza ukaniambia..huo utafiti sample size, sample unit zipi walitumia bila kusahau methodologies zilizo tumika ili kuufanya huo utafiti uwe na validity
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha dharau kenge ww
hao wa vijijini wanaongoza [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23]