Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wenye wanawake wengine

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wenye wanawake wengine

Hili linawezekana kuonekana suala la ajabu ila ndyo uhalisia.Mwanaume mwenye mwanamke au wanawake pembeni hupendwa Sana.

Natolea Baadhi ya mifano

1 Ukiwa huna mpenzi kama mwanaume alafu ukamtaka mwanamke.Akikubali kuwa na mahusiano na wewe lakini akagundua huna mzunguko mwingi wa wanawake basi upendo unapungua.

2 Ndoa za wanaocheat zinadumu kuliko wanaume ambao hawacheat.Utakuta mwanamke anasema hapendi michepuko lakini mume wake akipoa Sana BIla kuwa na kashikashi za michepuko utakuta ghafla kapigwa chini.

3 Wanawake wengi ambao hawajaolewa kwanini wanapenda wanaume ambao wapo kwenye ndoa zao??Wakati Kuna mwanaume mwaminifu hana ndoa na anakataliwa Kila siku.

4 Ukiwa unachat na mwanamke usiku akakuuliza unachat na nani zaidi yangu??
Ukimjibu nachat na mwanamke Fulani pia Kuna uwezekano mkubwa wa maongezi kudumu.

Ukimjibu nachat na wewe tu basi hamasa yake inashuka na ndani ya muda mfupi maongezi hata kama yalikuwa mazuri vipi basi yataisha.

KAMA UNABISHA JARIBU.
Mwanamke wa hivi ni mgonjwa wa akili
 
Ni saikolojia issues, imeelezewa sana katika vitabu vya mapenzi wakisema alhpa man,

Binadamu tumezaliwa kupambana na mazimgira,

Mwanamke anapenda kashi kashi, ndio maana ile mijitu inajitia kunyenyekea wake zao, mitiifu, inalia katika sala badala ya mwanamke kulia, tunaisaidia sana kudumisha ndo zao huku nje
 
Una mwanamke umemnunulia simu kali,nguo za kutosha,na mambo mengine.

Mwanamke wa pembeni Anajua huyu mwanaume ana hela na ni mtoaji,ngoja nikaombe ajira na mimi nilipwe kama yule mwanamke mwingine.


Kampuni haijawahi kuonekana ikiwa na wafanyakazi wakichakarika,wenye hela,unaondaje kuomba kazi?
 
Hili linawezekana kuonekana suala la ajabu ila ndyo uhalisia.Mwanaume mwenye mwanamke au wanawake pembeni hupendwa Sana.

Natolea Baadhi ya mifano

1 Ukiwa huna mpenzi kama mwanaume alafu ukamtaka mwanamke.Akikubali kuwa na mahusiano na wewe lakini akagundua huna mzunguko mwingi wa wanawake basi upendo unapungua.

2 Ndoa za wanaocheat zinadumu kuliko wanaume ambao hawacheat.Utakuta mwanamke anasema hapendi michepuko lakini mume wake akipoa Sana BIla kuwa na kashikashi za michepuko utakuta ghafla kapigwa chini.

3 Wanawake wengi ambao hawajaolewa kwanini wanapenda wanaume ambao wapo kwenye ndoa zao??Wakati Kuna mwanaume mwaminifu hana ndoa na anakataliwa Kila siku.

4 Ukiwa unachat na mwanamke usiku akakuuliza unachat na nani zaidi yangu??
Ukimjibu nachat na mwanamke Fulani pia Kuna uwezekano mkubwa wa maongezi kudumu.

Ukimjibu nachat na wewe tu basi hamasa yake inashuka na ndani ya muda mfupi maongezi hata kama yalikuwa mazuri vipi basi yataisha.

KAMA UNABISHA JARIBU.
Fundi tv,simu,radio,,garage nk , lazima awe na makorokoro ofisini kwake ili kumuaminisha mteja weledi wa kazi yake.,
Haiwezekani uende kwa fundi usikute hata simu mbovu,au tv mbovu,gari bovu yote ni ktk kumuaminisha mteja weledi wa kazi yake.

wanawake wengi wanapenda mwanamume mjuzi wa mapenzi /mwenye pesa,,
Ndy sababu ya kupenda wanaume wenye mahusiano mengi.anajiona yupo salama zaidi kuliko kudate na mwanaume mlokole.
 
Back
Top Bottom