Ni kwanini wasiopenda Kulipa Nauli ndani ya DalaDala ( Wakwepaji Nauli ) hupenda sana Kukaa Siti za katikati tu pekee?

Ni kwanini wasiopenda Kulipa Nauli ndani ya DalaDala ( Wakwepaji Nauli ) hupenda sana Kukaa Siti za katikati tu pekee?

Wewe ni mpumbavu.

Hapo nyuzi zote mbili kimantiki umezungumzia suala la ukwepaji wa kulipa nauli.

Usikurupuke.

Nikisema kuwa kama unajijua huna 'Akili' usiwe 'unakurupuka' Kuchangia 'Threads' zangu muwe mnanielewa tafadhali sawa? Hata kama nimeanzisha 'Threads' nyingi ( kadha wa kadha ) hivi ukiziangalia katika suala zima la 'Content' na 'Context' zake 'Kichwani' zikiwa zinakutosha unaweza kusema kuwa zinafanana au ni hiyo hiyo? Upumbavu wangu haujazidi wa yule aliyekuhifadhi na akakutapika 'Leba' baada ya Wiki 38.57143.
 
Wazee wa stolowei 😂😂😂,,, mie nisipotaka kulipa nauli naweka sura ya kazi na nakomaa na simu yangu mwanzo mwisho sigeuki kushoto wala kulia. Makonda huwa wananipitaga tu mpaka kitu nachoshuka.
 
Nikisema kuwa kama unajijua huna 'Akili' usiwe 'unakurupuka' Kuchangia 'Threads' zangu muwe mnanielewa tafadhali sawa? Hata kama nimeanzisha 'Threads' nyingi ( kadha wa kadha ) hivi ukiziangalia katika suala zima la 'Content' na 'Context' zake 'Kichwani' zikiwa zinakutosha unaweza kusema kuwa zinafanana au ni hiyo hiyo? Upumbavu wangu haujazidi wa yule aliyekuhifadhi na akakutapika 'Leba' baada ya Wiki 38.57143.
Sawa mwizi mzoefu endelea kukwepa kulipa nauli.
 
Back
Top Bottom