Wazazi wengi huwajengea hofu watoto kwa kuwatishia kuwa 'ukizingua nitakupeleka uchomwe sindano'…. hii hufanya waamini sindano ni adhabu na daktari/nesi ni jitu katili.
Hakuna mtoto ambae hajawahi kuchomwa sindano. kachanga kabisa kanakula zake mbili za mapajani sembuse wa miaka miwili mitatu mitano etc hasa za takoni wanachomwa vizuri tu.