Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Kiukweli sijui tatizo nini ila kitu nilichogundua asilimia karibia zote watu wafupi hawapendi kuelekezwa, ni wabishi mnoo hata ukimkosoa sehemu flani kama anakosea anaona kama umemdhalau na hawapendi kukosolewa ,
Je tatizo ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Je tatizo ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app