Ni kwanini watu wenye jinsia mbili hawapewi uhuru wa kuchagua jinsi yao?

Ni kwanini watu wenye jinsia mbili hawapewi uhuru wa kuchagua jinsi yao?

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Watoto wengi wanaozaliwa na jinsia mbili mara nyingi hufanyiwa upasuaji na wazazi kupanga wawe jinsi gani.

Sasa kwanini wasiachwe wakue ili wao wenyewe waamue jinsia wanayoitaka? Hapa nazungumzia intersex ama watu wanaozaliwa na jinsi mbili.
 
Back
Top Bottom