Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Jamani hivi ni mimi tu niliyeliona hili au? Kwa nini Wazungu wana hela ila wanavaa kishamba? Na nguo kali zinatoka kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao ndio wamekutengenezea nguo, wamekufundisha kuvaa eti leo unasema wanavaa kishamba. Wenzio washapita huko kwenye Kula, kulala na kuvaa saa hizi wanaangalia uwezekano wa kwenda kuishi Mars.Jamani hivi ni mimi tu niliyeliona hili au? Kwa nini Wazungu wana hela ila wanavaa kishamba? Na nguo kali zinatoka kwao?View attachment 1933620
Watu wenye akili ambao kwao time is factor of production hawana muda wa kuvaa hizo nguo mnazoziita kali. Wako busy na creativity and innovationJamani hivi ni mimi tu niliyeliona hili au? Kwa nini Wazungu wana hela ila wanavaa kishamba? Na nguo kali zinatoka kwao?View attachment 1933620
Wamarekani weusi sio.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waafrika, na hata wamarekani weusi wanaushamba sana wa mavazi. Wanavaa wanakuwa kama vipepeo.