Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko chini ya wizara ya michezo na utamaduni kama uwanja wa Taifa. Ulifungiwa na TFF then wamiliki wakaupiga pin kwa madai ya kuufanyia ukarabati mkubwa lkn ilikuwa kama kisasi tu kwa TFFC nasikia unamilikiwa namabakabaka
Hako kajeshi ka kuvunja matofali sijui kanaficha nini humo wakati hakuna hata drones za kibangladeshi....Ule Uwanja Azam tv ndo walianza kulalamika kua hawapati view nzuri ya kurusha mechi kwa sababu ya katazo la jwtz kwamba Azam wakifunga camera zao ili game ionekane vizuri wanakua wanaonyesha mpaka kambi ya jeshi
Drone zipo za kutosha mkuu. Na kizuri tunakaribisha kila Mtanzania aje kujionea.Hako kajeshi ka kuvunja matofali sijui kanaficha nini humo wakati hakuna hata drones za kibangladeshi....
Duuh!Drone zipo za kutosha mkuu. Na kizuri tunakaribisha kila Mtanzania aje kujionea.
Karibu sana mkuu, ukifika jitambulishe mimi ni Teknocrat wa JF utapatiwa mapokezi mazuri sana.
Kwamba Chamazi, KMC, Majaliwa stadium, New Aman complex ni nyasi asili?Nyasi bandia za ovyo, hatari kwa wachezaji.
Ndio mkuuKwamba Chamazi, KMC, Majaliwa stadium, New Aman complex ni nyasi asili?
Sijui kama umenielewa, soma tena.Kwamba Chamazi, KMC, Majaliwa stadium, New Aman complex ni nyasi asili?
Si kujitutumuaHako kajeshi ka kuvunja matofali sijui kanaficha nini humo wakati hakuna hata drones za kibangladeshi....
Kujimwambafai tu wanajikuta IDFHako kajeshi ka kuvunja matofali sijui kanaficha nini humo wakati hakuna hata drones za kibangladeshi....
NdioKwamba Chamazi, KMC, Majaliwa stadium, New Aman complex ni nyasi asili?
Kabisa,, kuna umri mtu ukifika utanyimwa hata nyumba ya kupanga,,Simba na Yanga wajenge viwanja vyao fullstop.
Umepiga ikulu, kuna madalali waliniletea mpangaji mdingi fulani, pesa ilibídi niikate tu, siwezi kumuamkia shikamoo mpangaji.Kabisa,, kuna umri mtu ukifika utanyimwa hata nyumba ya kupanga,,
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Umepiga ikulu, kuna madalali waliniletea mpangaji mdingi fulani, pesa ilibídi niikate tu, siwezi kumuamkia shikamoo mpangaji.
Hata ningekuwa Boss huko maofisini dereva mzee sitaki nipe kijana ambaye hata akikosea naweza kumkemea.