fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
umefungwa upo kwenye matengenezoNinajiuliza inakiaje waende Azam na baada ya kukimbia Azam wamekwenda KMC.
Mbona uwanja wa Uhuru shamba la bibi upo vema tu.
Au umefungiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umefungwa upo kwenye matengenezoNinajiuliza inakiaje waende Azam na baada ya kukimbia Azam wamekwenda KMC.
Mbona uwanja wa Uhuru shamba la bibi upo vema tu.
Au umefungiwa?
Mzee ID si ndio hii inaonekana hapa? Kuna maajabu gani kwenye kuijua ID? Mbona hata ID za mods tunazijua pia?Duuh!
Kweli jeshi ni kwa form 4 failures.....
Tusiwalaumu polisi pia, ni walewale....
Naona umejua mpaka ID yangu!, hebu cheki na IP yangu ni ipi?
Elimu yenu ya necta kibongobongo ndio vipimo vyenu vya nani amekariri upupu mwingiMzee ID si ndio hii inaonekana hapa? Kuna maajabu gani kwenye kuijua ID? Mbona hata ID za mods tunazijua pia?
Ulifanikiwa kweli kumaliza form one?
Jomba mbona umejaa upepo kirahisi?Elimu yenu ya necta kibongobongo ndio vipimo vyenu vya nani amekariri upupu mwingi
Nimemaliza year 13, na kwenda juu zaidi, haya dadavua ni elimu ya wapi ?
Yaani nimejitutumua na kutoa povu lote hilo wewe unaona ni upepo?Jomba mbona umejaa upepo kirahisi?
Umefungiwa na TFF.Ninajiuliza inakiaje waende Azam na baada ya kukimbia Azam wamekwenda KMC.
Mbona uwanja wa Uhuru shamba la bibi upo vema tu.
Au umefungiwa?
kati ya makosa yaliyofanywa na serikali ya Mkapa ni kujenga uwanja wa Mkapa pembeni mwa uwanja wa Uhuru. Ni matokea ya wasahili kupenda kubanana. Uwanja wa Mkapa ulitakiwa ujenge sehemu tofauti kabia na hapo Chang'ombe, labda ungepelekwa Kigamboni au Ubungo. Kwa sasa hivi viwanja hivyo haviwezi kutumika kwa pamoja, na huenda ndiyo maana hata ukarabati wake siyo priority ya serikali.Umefungiwa na TFF.
Ova
Sehemu ya kuchezea ya Uhuru ndiyo imekataliwa na TFF kuwa haikidhi viwango vya ligi yetu. Haihusiani na ukarabati wa Uwanja wa Mkapa.kati ya makosa yaliyofanywa na serikali ya Mkapa ni kujenga uwanja wa Mkapa pembeni mwa uwanja wa Uhuru. Ni matokea ya wasahili kupenda kubanana. Uwanja wa Mkapa ulitakiwa ujenge sehemu tofauti kabia na hapo Chang'ombe, labda ungepelekwa Kigamboni au Ubungo. Kwa sasa hivi viwanja hivyo haviwezi kutumika kwa pamoja, na huenda ndiyo maana hata ukarabati wake siyo priority ya serikali.
umefungwa na serikali sio tffUmefungiwa na TFF.
Ova
Hujajibu kwa nini wameikataa; ni kwa sababu haijakarabatiwa na huenda hakuna mpango wa kuikarabati. Uhura inajifia kifo cha mende, labda kubaki kuwa uwanja wa gwaride la jeshi tu.Sehemu ya kuchezea ya Uhuru ndiyo imekataliwa na TFF kuwa haikidhi viwango vya ligi yetu. Haihusiani na ukarabati wa Uwanja wa Mkapa.
Ova
Capeti liliozaUko chini ya wizara ya michezo na utamaduni kama uwanja wa Taifa. Ulifungiwa na TFF then wamiliki wakaupiga pin kwa madai ya kuufanyia ukarabati mkubwa lkn ilikuwa kama kisasi tu kwa TFF