Ni kwasababu gani mechi ya coastal union na yanga imesitishwa 16/1/2022,??

Ni kwasababu gani mechi ya coastal union na yanga imesitishwa 16/1/2022,??

Bill

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
9,258
Reaction score
10,014
Hii mechi ilipangwa Jumapili Mkwakwani Stadium Tanga lakini imeahirishwa. Je nini hakijaenda kama ilivyopangwa?

GENTAMYCINE ufafanuzi tafadhali.
 
Umeona wapi kwamba imeahirishwa?
20220114_201829.jpg


20220114_201829.jpg
 
Akina Tomaso muone utopolo wenu hapo juu. Mwiko haupo nyuma hamjaurudisha tangu uchomolewe na Azam.

Kwa Wagosi ingekuwa kazi rahisi kupita nyuma isiyo na mwiko.
 
Back
Top Bottom