Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Hii mechi ilipangwa Jumapili Mkwakwani Stadium Tanga lakini imeahirishwa. Je nini hakijaenda kama ilivyopangwa?
GENTAMYCINE ufafanuzi tafadhali.
GENTAMYCINE ufafanuzi tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wapi kwamba imeahirishwa?Hii mechi ilipangwa Jumapili Mkwakwani Stadium Tanga lakini imeahirishwa. Je nini hakijaenda kama ilivyopangwa?
GENTAMYCINE ufafanuzi tafadhali.
Bado wanaugulia maumivuHii mechi ilipangwa Jumapili Mkwakwani Stadium Tanga lakini imeahirishwa. Je nini hakijaenda kama ilivyopangwa?
GENTAMYCINE ufafanuzi tafadhali.
HaaBado wanaugulia maumivu
Ule mwiko mlochomekwa nyuma na Azam utakuwa unauma sana. Siyo rahisi kupona mapema hivyo. Pole
mshono haujakauka
kweli aisee iliahirishwa bila hata sababuViroporopo vya mbumbumbu fc mechi ya kagera ilhairishwa lkn hizi kelele hatukuziskia.
Hii mechi ilipangwa Jumapili Mkwakwani Stadium Tanga lakini imeahirishwa. Je nini hakijaenda kama ilivyopangwa?
GENTAMYCINE ufafanuzi tafadhali.
Sasa mkuu ulipaswa uwaamini TFF kama wao ndio wangeweka tangazo..hizi app za matokeo hazina uhakika.Wapi?