Ni kwel kwamba computer engineering haina mkopo?

yrapherol

Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
35
Reaction score
2
Jama nilikuwa nataka mnijuze kuhusu computer Engeneering ya Mbeya ni kwel kwmba haina mkopo maana nmeona possble loan pale ni 0 ?!
 
Course zote zina mkopo sema kuna priority na non priority,so hizo non priority zina mikopo pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…