mair erasto
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 413
- 425
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?