Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ukristo haujaanza kipindi cha ujio wa wakoloni, ulianza kipindi kirefu mno mfano yohana mbatizaji alikuwa akifanya kazi ya Mungu yangu 500BC ambaye ndiye alikuwa mtanguliz wa Yesu, na ujio wa wa missionary walikuwa approximately 18 century ni vigumu mno kuchanganya Ukristo au Bible na ukolini

Role of Missionaries in Colonization of Africans

They misused biblical passages to further the causes of their colonial friends.

The message preached by Missionaries encouraged Africans to rebel against everything that formed the foundation of African family and society.

They even preached that salvation could only be obtained through formal work which meant one had to earn a paycheck. The only people who paid for labor at the time were Europeans colonialists.

Most missionaries new to Africa believed Africans were lazy and were not using their land adequately so it was in their best interest for Europeans to use it. Some missionaries had developed friendships with local clans and used this to further European causes. Often African chiefs sought advice from missionaries on how to deal with other Europeans seeking treaties. However, the missionaries almost always betrayed their trust.

The question therefore remains if the missionaries’ views towards Africans were so negative how could they have been any benefit to Africans? In essence colonialism was partly a result of betrayal by missionaries. Even though we are grateful that they educated Africans and opened clinics in the most remote villages we cannot forget that their motives were impure and their actions very detrimental to African society.

It is amazing that Britannica describes Robert Moffat as, “Scottish missionary to Africa and Bible translator, who was known for his efforts to improve local living standards in Africa. He was also the father-in-law of the missionary and explorer David Livingstone (1813–73).”

Improving local living standards to them means he aided Europeans in taking land that belonged to Africans and then forcing them to work for a living so that they would pay taxes for things that never benefited them



http://www.globalblackhistory.com/2012/10/role-of-missionaries-in-colonization-of-africans.html

unaanzaje kumtetea mmisionari?
 
Tuliochokuwa tunajadili ukweli wa biblia na sio utenganifu kati ya Bible na uyahudi, ni kweli wokovu watoka kwa wayahudi kwani hata Yesu mwenyewe ni myahudi na Bible is derived from hebrewish and greek terms ndio zikawa translated ktk lugha zingine, kwa hiyo niwaalike kwa mara nyingine kwamba Biblia ni hakika na impacts zake ni dhahiri
 
Alafu mnaniacha hoi eti mnapinga kuamini Bible sababu kaileta mgeni lakini at the same time....

Mnaamini katika atheism je Darwin au Newton walikua waafrika?

Mnaasoma katika mfumo mzima wa elimu ya wazungu.

Mnavaa mavazi ya wazungu tena baada ya wao wenyewe kuyachafua kwanza.

Mnaribiwa na madawa na vifaa tiba v ya wazungu.

Mnafadhaliwa budget more than half na wazungu.

Mnaashabikia team na wanamuziki wa kizungu.

Mnatumia all electronic devices na networks za wazungu.

Mnaamini ramani ya Africa na Tanzania iliyochorwa na wazungu.

Bunge mahakama sheria serikali yote mzungu.

Mnatumia katiba iliyotengenezwa na wazungu.

Mnatumia democracy na government system iliyoasisiwa na wazungu.

Mnatumia electricity water supply gas supply petroleum na magari yaliyoasisiwa na wazungu..

Mnaongeal lugha ya mzungu.

Oooh i am tired.

Alafu eti kuna mtu anakuja anasema siwezi kuamini Bible ni ya mzungu hhahaaaa kumbe hajui katika mambo yote kuanzia anaamka mpaka analala vyote ni mzungu tupu isipokua Bible pekee.

Mnatia huruma.
 
Ukristo umeenezwa ulimwenguni na wayahudi na wayahudi ndio wakwanza kuisikia Injili wao ndio waliyoandika Bible Kristo ndio anatoka huko sasa unautemgaje ukristo na uyahudi?

Unajua kanisa la kwanza duniani la Antiokia lilikua wapi?
Kanisa la kwanza hahaha hivi mmekuaje nyie mbna mnapotoshwa hivyo
 
Tukumbe pia that's still theory, it is no longer a principle, theory can be modified, removed or replaced, theories zilizokuwa Postulated na Charles Darwin na yule mwenzake zina weakness za kutosha believe in God and his words you will be established
 
Tuliochokuwa tunajadili ukweli wa biblia na sio utenganifu kati ya Bible na uyahudi, ni kweli wokovu watoka kwa wayahudi kwani hata Yesu mwenyewe ni myahudi na Bible is derived from hebrewish and greek terms ndio zikawa translated ktk lugha zingine, kwa hiyo niwaalike kwa mara nyingine kwamba Biblia ni hakika na impacts zake ni dhahiri
Thibitisha impact moja dhair
 
Muafrica kitu pekee alichonacho ni IQ yake tu lakini mpaka ngozi saivi ni za wazungu nywele ni za wazungu almost and absolutely everything ni cha mzungu sasa wewe uliyekua unasema Bible kaileta mzungu kukutawala unajidanganya haswa.

Saivi agenda kubwa za world elites kama kina bilderburg group skull and bones Illuminati club alliance Freemasons UN sharp age brotherhood ni kufuta Christianity kwa kuruhusu uchafu wote unaopingwa kwenye Bible na kuwafanya watu wawe busy for destruction sake.
 
Alafu mnaniacha hoi eti mnapinga kuamini Bible sababu kaileta mgeni lakini at the same time....

Mnaamini katika atheism je Darwin au Newton walikua waafrika?

Mnaasoma katika mfumo mzima wa elimu ya wazungu.

Mnavaa mavazi ya wazungu tena baada ya wao wenyewe kuyachafua kwanza.

Mnaribiwa na madawa na vifaa tiba v ya wazungu.

Mnafadhaliwa budget more than half na wazungu.

Mnaashabikia team na wanamuziki wa kizungu.

Mnatumia all electronic devices na networks za wazungu.

Mnaamini ramani ya Africa na Tanzania iliyochorwa na wazungu.

Bunge mahakama sheria serikali yote mzungu.

Mnatumia katiba iliyotengenezwa na wazungu.

Mnatumia democracy na government system iliyoasisiwa na wazungu.

Mnatumia electricity water supply gas supply petroleum na magari yaliyoasisiwa na wazungu..

Mnaongeal lugha ya mzungu.

Oooh i am tired.

Alafu eti kuna mtu anakuja anasema siwezi kuamini Bible ni ya mzungu hhahaaaa kumbe hajui katika mambo yote kuanzia anaamka mpaka analala vyote ni mzungu tupu isipokua Bible pekee.

Mnatia huruma.
unasifia maendeleo yaliyoletwa na mzungu bila kuwaza ulichopoteza baada ya wao kuja.. the white guy has totally wiped out your values and ways of life, now you're living how he lives and how he wants you to, and you're proud of that?

ni kama unamshukuru mtu aliekulawiti kwa kukulipia ada ya shule!!
 
Alafu mnaniacha hoi eti mnapinga kuamini Bible sababu kaileta mgeni lakini at the same time....

Mnaamini katika atheism je Darwin au Newton walikua waafrika?

Mnaasoma katika mfumo mzima wa elimu ya wazungu.

Mnavaa mavazi ya wazungu tena baada ya wao wenyewe kuyachafua kwanza.

Mnaribiwa na madawa na vifaa tiba v ya wazungu.

Mnafadhaliwa budget more than half na wazungu.

Mnaashabikia team na wanamuziki wa kizungu.

Mnatumia all electronic devices na networks za wazungu.

Mnaamini ramani ya Africa na Tanzania iliyochorwa na wazungu.

Bunge mahakama sheria serikali yote mzungu.

Mnatumia katiba iliyotengenezwa na wazungu.

Mnatumia democracy na government system iliyoasisiwa na wazungu.

Mnatumia electricity water supply gas supply petroleum na magari yaliyoasisiwa na wazungu..

Mnaongeal lugha ya mzungu.

Oooh i am tired.

Alafu eti kuna mtu anakuja anasema siwezi kuamini Bible ni ya mzungu hhahaaaa kumbe hajui katika mambo yote kuanzia anaamka mpaka analala vyote ni mzungu tupu isipokua Bible pekee.

Mnatia huruma.
Kuvaa mavazi ya wazungu haimaanish kua tunaelewa imani yake, ndugu tunapinga alichokuja nacho na kutuaminisha kua tunachoamini sicho ila chakwake ndicho....sasa kama unakubali kila kitu cha mzungu kuhusu belief utaishia kuamini mpaka siku utakapo salishwa na mashoga
 
biblia ni sehemu ya wa roma ambao walikuwa ndio watawala wakubwa miaka kabla yesu ajaja wao wa roma dini ilikuwa si kitu lakini kipindi icho kutokana na kuwa pande zenye nguvu persia na roma uku katikati arab state azikuwa na nguvu kutokana na tawala hizi mpaka manabii wanakuja inasemekana uislamu ndio dini iliyo kuwepo kwakuwa ukikutwa unafata dini ni sawa kama umepinga tawala mbili hizo lakini kwa mapito yote wametumia haya na kutengeneza bibilia kwa msingi wa kuendesha watu wakijua haya
 
vipofu wafunguka, vilema watembea wakati maneno kutoka kwenye biblia yakisemwa
Sasa we unazungumzia maneno hahaha sasa mi nakupa maisha halisi wazee wa enzi zile kabla ya kuja hao wazungu kulikua na matambiko hiyo ndio asili yetu
 
unasifia maendeleo yaliyoletwa na mzungu bila kuwaza ulichopoteza baada ya wao kuja.. the white guy has totally wiped out your values and ways of life, now you're living how he lives and how he wants you to, and you're proud of that?

ni kama unamshukuru mtu aliekulawiti kwa kukulipia ada ya shule!!
That's ment to you superb limbukeni sio mimi niliesema kwamba siamini Bible sababu ni ya mzungu in short that message i dedicate to you na viluilui wenzako wenye mentality hiyo.
 
Ukristo umeenezwa ulimwenguni na wayahudi na wayahudi ndio wakwanza kuisikia Injili wao ndio waliyoandika Bible Kristo ndio anatoka huko sasa unautemgaje ukristo na uyahudi?

Unajua kanisa la kwanza duniani la Antiokia lilikua wapi?
antiokia siyo uturuki?
 
biblia ni sehemu ya wa roma ambao walikuwa ndio watawala wakubwa miaka kabla yesu ajaja wao wa roma dini ilikuwa si kitu lakini kipindi icho kutokana na kuwa pande zenye nguvu persia na roma uku katikati arab state azikuwa na nguvu kutokana na tawala hizi mpaka manabii wanakuja inasemekana uislamu ndio dini iliyo kuwepo kwakuwa ukikutwa unafata dini ni sawa kama umepinga tawala mbili hizo lakini kwa mapito yote wametumia haya na kutengeneza bibilia kwa msingi wa kuendesha watu wakijua haya
Wanasema bibilia ilikua moja kati ya vitabu vilivyotumiwa na watu weusi ethiopia na egypt sio hii ya leo iliyopitezwa maana hao warumi waliiupata ukweli toka kwa wagiriki
 
biblia ni sehemu ya wa roma ambao walikuwa ndio watawala wakubwa miaka kabla yesu ajaja wao wa roma dini ilikuwa si kitu lakini kipindi icho kutokana na kuwa pande zenye nguvu persia na roma uku katikati arab state azikuwa na nguvu kutokana na tawala hizi mpaka manabii wanakuja inasemekana uislamu ndio dini iliyo kuwepo kwakuwa ukikutwa unafata dini ni sawa kama umepinga tawala mbili hizo lakini kwa mapito yote wametumia haya na kutengeneza bibilia kwa msingi wa kuendesha watu wakijua haya
Duh alafu ndio unategemea kitu kutoka kwako??
Ukristo umeipita uislam miaka 600 mpaka Quran imewaandika watu wanaoitwa wakristo wewe unasema umeutangulia.

Ndio IQ yako hiyo hongera.
 
That's ment to you superb limbukeni sio mimi niliesema kwamba siamini Bible sababu ni ya mzungu in short that message i dedicate to you na viluilui wenzako wenye mentality hiyo.
acha upumbavu huwezi kujivunia kitu ambacho sio chako, watu wanafanya hivyo vyote ulivyovitaja kutokana na kwamba hamna namna, kwa ni sisi tulimuomba mzungu aje kutupa huo ujuzi? hivyo vyote kavifanya kwa manufaa yake..

kwani kabla ya wao kuja tulikua hatuishi? acha kuongea pumba.
 
antiokia siyo uturuki?
Geography of the biblical Israel is way far from modern Israel.

Naomba muwe mnajielimisha kabla hamjaja kuniquote mnaniootezea tu muda.

Sasa hii nayo ni hoja kwa mtu kama wewe kweli?
 
acha upumbavu huwezi kujivunia kitu ambacho sio chako, watu wanafanya hivyo vyote ulivyovitaja kutokana na kwamba hamna namna, kwa ni sisi tulimuomba mzungu aje kutupa huo ujuzi? hivyo vyote kavifanya kwa manufaa yake..

kwani kabla ya wao kuja tulikua hatuishi? acha kuongea pumba.
Yaaani kaka umempa maneno kuntu mdogo angu
 
Back
Top Bottom