Katarama sio MuhayaKatarama mwana Ccm kindaki bepari la kihaya watamuweza kweli?
Ni wawapi nisaidie?Katarama sio Muhaya
Hizi fitana zinatokaga kwa nyinyi mafukara msiomiliki hata tairi la basi, si ajabu Allys na Katarama ni washikaji wakubwa sanaYani Katarama ikotoka kesi hii inakuja kesi nyingine, kama sasa hivi wana soo nyingine huko LATRA.
sasa wahuni mtaani wanasema allys roho inamuuma maana competition ya Katarama ni next level ndio maana anamfanyia majungu na fitna.
Mengine Sio kweli ni hearsays na kiki tu