Ni kweli amepata mimba au?

Ni kweli amepata mimba au?

badala ya kwenda kucheki ukimwi ambao hauna chanjo wala tiba una wasiwasi wa mimba, hiyo ya mimba ni majaaliwa tu kama vp jiandae kuitwa baba. Ila kacheki ngoma fasta maana uenda mpira ulipopasuka ulikwaa virusi

tulishawahi kwenda kupima yeye yuko safe na mimi pia, ila wasiwasi wangu upo hapo kwenye mimba tu! Mana inataka kuja wakati tusioutarajia...
 
Hahaha...nimesikia tu kuwa kuna njia zitafungwa kwa muda ili hawa wageni waweze pita kwa urahisi ila mpaka wakati huu sijajua ni barabara zipi haswa...

jana nimeingia home saa 3:30 usiku foleni ya tazara na airport....
 
Pia naomba kuuliza jamani, kuna mtu ailitushauri kuwa aendelee kutumia vidonge vya uzazi wa mpango mpaka hapo atkapoona tena siku zake mwezi ujao kama tunawasiwasi sana na hiyo mimba je ushauri huu ukosahihi?(kwa anaye fahamu.)
 
Mnatutia uvivu. Hivi uvulana unaanzia miaka mingapi na kuishia mingapi? Unafanya matusi kama unafyagia lami hadi condom inapasuka, lakini haujui kuhesabu siku za hatari! Karibia unashikishwa mimba wewe
 
Mimba itategemea na mzunguko wa huyo bi dada...ila most likely atakuwa kapata mimba

Mnatutia uvivu. Hivi uvulana unaanzia miaka mingapi na kuishia mingapi? Unafanya matusi kama unafyagia lami hadi condom inapasuka, lakini haujui kuhesabu siku za hatari! Karibia unashikishwa mimba wewe
 
kama wote mko perfect atapata mimba maana ndio siku maalumu kabisa. kama itakuwa mbegu zako hazitungi mimba au mayai ya mwanamke hayawezi kupevushwa, au vyote viwili hakuna mimba hapo.
 
Mr Genius hebu muulize shem alimaliza kubreed lini?
 
tulishawahi kwenda kupima yeye yuko safe na mimi pia, ila wasiwasi wangu upo hapo kwenye mimba tu! Mana inataka kuja wakati tusioutarajia...

kama ukimwi mlipima kwa nn msipime na mimba ili ujue kama imenasa au lah, ndio maana mnaambiwa msubiri kufanya tendo la ndoa mpk mnapokuwa tayari sio mnakurupuka tu tena bila kinga halafu hapa unatudanganya kuwa kondomu ilipasuka kivipi?. Na hiyo mimba wala msitoe ndio ukubwa huo
 
Mkuu, suala lako limepata mtaalamu wa uzazi.
Utangulizi:
Mosi tambua kwamba,siku ambayo ulifanya mapenzi na kimada wako ni siku ya 15 katika mzunguko wake wa hedhi.
Kwa mwanamke mwenye mzunguko wa kawaida yaani siku 28, kwake hiyo ni siku ya hatari.
Labda nikupe kanuni rahisi ambayo itakusaidia wewe na wengineo.

N - 14days = M

N = Jumla ya siku ambazo mwanamke anatumia kutoka bleed moja hadi nyingine au Jumla ya siku za mzunguko mmoja wa hedhi.

M = Siku ambayo yai hupevuka na kuwa tayari kurutubishwa.

Sasa kwa mwanamke mwenye mzunguko wa kawaida ambao ni siku 28, kanuni itatumika kama ifuatavyo:

N = 28 , je M = ?

N - 14 = M
28 - 14 = 14

Hivyo mwanamke huyu siku yake ya upevushaji yai ni ile ya 14.

Hivyo tumia kanuni hiyo kwa mwanamke yoyote mwenye idadi ya siku za mzunguko zozote.

Siku za hatari ni zipi?
Siku za hatari ni hizi M - 3, M - 2, M - 1, M, M + 1, M + 2, M + 3.

Ila binafsi huwa nashauri kuwa salama zaidi, mtu asifanye mapenzi siku 5 kabla na baada ya siku ya upevushaji wa yai.

Ushauri;
Muulize kimada wako idadi ya siku zake za mzunguko halafu tumia kanuni hiyo.

Naona kipele kimepata mkunaji!!!!!

Ahahah.. Mentor never makes such mistakes!!!! :glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Ila mara nyingi wanawake wanapaswa wawe wakali wakati wa ovulation kuepuka mimba zisizotarajiwa...
Bahati mbaya huo ndio wakati ambao mwanamke huwa na genye mshindo kuliko wakati wowote wa mwezi...

Naona kipele kimepata mkunaji!!!!!

Ahahah.. Mentor never makes such mistakes!!!! :glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana jamv!.jaman mwenzenu ninanatatizo na ninahitaji msaada wenu wa kimawazo mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 23 ninampenzi wangu ambaye hivi majuzi tar25 nilipata nafasi ya kujirusha naye na kwakua aliniambia anahisi yuko kwenye siku zake za hatari basi tulitumia zana. Lakini kwa bahati mbaya wakati wa tendo mpira ulipasuka na kusababisha nimwage shahawa ndani na kufanya mimi na mpenzi wangu kuwa na wasiwasi wa kuwa anaweza kuwa ameshika mimba ambayo hatukuitarajia sasa naomba kuuliza; kwa kua aliniambia aliingia kwenye damu ya mwezi tar 11 na mimi nilikutana naye tar25 mwez huu je anaweza kuwa ameshika mimba? USHAURI WENU PLZ, NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU.

Muhimu we subiri tu ulee mkuu,there's no way out!naamini kama uliweza kumwaga sumu hadi bidada akasaula viwalo haitakuwia vigumu kwa ww kulea,pia kumbuka!cku nyengine unapomkunja m2 unaposugua usikilizie huku na huku sio ujiachie tena labda awe mkeo wa ndoa.tahadhari..UZINZI nidhambi,jielewe nasubiri hadi utapofunga ndoa.malezi mema mdogo'angu,akijifungua 2pe tena tarifa tukuchagulie jina.
 
Ila mara nyingi wanawake wanapaswa wawe wakali wakati wa ovulation kuepuka mimba zisizotarajiwa...
Bahati mbaya huo ndio wakati ambao mwanamke huwa na genye mshindo kuliko wakati wowote wa mwezi...

Ya kweli haya?
Cc: Paloma
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana jamv!.jaman mwenzenu ninanatatizo na ninahitaji msaada wenu wa kimawazo mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 23 ninampenzi wangu ambaye hivi majuzi tar25 nilipata nafasi ya kujirusha naye na kwakua aliniambia anahisi yuko kwenye siku zake za hatari basi tulitumia zana. Lakini kwa bahati mbaya wakati wa tendo mpira ulipasuka na kusababisha nimwage shahawa ndani na kufanya mimi na mpenzi wangu kuwa na wasiwasi wa kuwa anaweza kuwa ameshika mimba ambayo hatukuitarajia sasa naomba kuuliza; kwa kua aliniambia aliingia kwenye damu ya mwezi tar 11 na mimi nilikutana naye tar25 mwez huu je anaweza kuwa ameshika mimba? USHAURI WENU PLZ, NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU.

imekula kwako sali sala zote hiyo ni siku ya hatari sana bt subiri kama hatapata hedhi inayofuata nendeni mkapime kwa uhakika zaidi
 
hiyo ni mimbalization......sijui niseme pole au niseme hongera, ila kwa uhakika nenda kapime....likiisha la mimba u better also check HIV, because mimba ita m-terminate binti at home lakini HIV will terminate you both in the world
 
Back
Top Bottom