LGE2024 Ni kweli asilimia kubwa Chadema ndiyo hawajui kujaza fomu? Na ikiwa ni hujuma wanataka kulipekeleka wapi Taifa letu?

LGE2024 Ni kweli asilimia kubwa Chadema ndiyo hawajui kujaza fomu? Na ikiwa ni hujuma wanataka kulipekeleka wapi Taifa letu?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa.

Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii

Nianze kunukuu maandiko ya Mfalme mwenye hekima aliyeandika na ukaingia kwenye maandiko Mtakatifu

34 Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote. Mithali 14:34

Msingi wa haki ni kuanza kuchagua viongozi kwa misingi ya haki. Tusitegemea kiongozi aliyechaguliwa pasipo haki atende haki.

Aibu kubwa tuliyonayo kwenye maeneo mengi ya Taifa lenye rasilimali za kutosha kujiendendesha lenyewe sababu majawapo ni Rushwa

Hili ni la kukemewa mapema Kila chama kipambane kivyake kwa haki atakayeshinda ashinde
 
Sioni haja ya kuviziana kwenye ujazaji wa fomu ili uenguliwe ni ujinga. Tume inatakiwa itoe elimu ya ujazaji fomu kwa wagombea wa vyama vyote. Na ikiwa wahusika watakosea wapewe nafasi ya kurekebisha kwa maelekezo

Tunawanyima wananchi viongozi wazuri kwa kuviziana kwenye fomu.

Tunataka wagombea walete ushindani wa sera tuwapime.
 
Rais mwanamke anakuwa hana confidence na anaendeshwa na mihemko ya wanaomzunguka.
Ulizia Kamara na wenzie
 
Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa

Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii

Nianze kunukuu maandiko ya Mfalme mwenye hekima aliyeandika na ukaingia kwenye maandiko Mtakatifu

34 Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Mithali 14:34

Msingi wa haki ni kuanza kuchagua viongozi kwa misingi ya haki.
Tusitegemea kiongozi aliyechaguliwa pasipo haki atende haki.

Aibu kubwa tuliyonayo kwenye maeneo mengi ya Taifa lenye rasilimali za kutosha kujiendendesha lenyewe sababu majawapo ni Rushwa

Hili ni la kukemewa mapema Kila chama kipambane kivyake kwa haki atakayeshinda ashinde
si tu kujaza fomu hata juandika majina yao kwa usahihi wamekosea.

mbaya zaidi hawajajiandikisha kwenye daftari la mtaa ikimaanisha sio wakazi wa maeneo husika :pulpTRAVOLTA:
 
Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa

Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii

Nianze kunukuu maandiko ya Mfalme mwenye hekima aliyeandika na ukaingia kwenye maandiko Mtakatifu

34 Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Mithali 14:34

Msingi wa haki ni kuanza kuchagua viongozi kwa misingi ya haki.
Tusitegemea kiongozi aliyechaguliwa pasipo haki atende haki.

Aibu kubwa tuliyonayo kwenye maeneo mengi ya Taifa lenye rasilimali za kutosha kujiendendesha lenyewe sababu majawapo ni Rushwa

Hili ni la kukemewa mapema Kila chama kipambane kivyake kwa haki atakayeshinda ashinde

Yaani ni Ujinga mtupu unaendela. Haiwezekani, Wapinzani peke yao tu washindwe kujaza hizo form halafu CCM wote wakaweza. Unless CCM ni tofauti na Watanzania wengine.

In fact walioupinzani wengi wao wamesoma na wamefunguka zaidi kiakili kuliko walioko CCM .... Hiyo ni fact hata kama kuna atakayepinga. Yaani, kama Msukuma au Maji Marefu (RIP)wanaweza kujaza form vizuri kweli kuna mgombea mgombea atashindwa..!?
 
Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa

Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii

Nianze kunukuu maandiko ya Mfalme mwenye hekima aliyeandika na ukaingia kwenye maandiko Mtakatifu

34 Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Mithali 14:34

Msingi wa haki ni kuanza kuchagua viongozi kwa misingi ya haki.
Tusitegemea kiongozi aliyechaguliwa pasipo haki atende haki.

Aibu kubwa tuliyonayo kwenye maeneo mengi ya Taifa lenye rasilimali za kutosha kujiendendesha lenyewe sababu majawapo ni Rushwa

Hili ni la kukemewa mapema Kila chama kipambane kivyake kwa haki atakayeshinda ashinde
Ukiona wengi wakilalamika na kuona kuwa haki haipo hiyo ni dalili kuwa Mungu ameanza kazi ya kuleta mabadiliko. Waache waendelee tu kunyima haki za watu maana hawataendelea sana kwani mwisho wao u karibu.
 
Sioni haja ya kuviziana kwenye ujazaji wa fomu ili uenguliwe ni ujinga
Tume inatakiwa itoe elimu ya ujazaji fomu kwa wagombea wa vyama vyote
Na ikiwa wahusika watakosea wapewe nafasi ya kurekebisha kwa maelekezo

Tunawanyima wananchi viongozi wazuri kwa kuviziana kwenye fomu

Tunataka wagombea walete ushindani wa sera tuwapime
Inawezekana Fomu zenyewe zinaandaliwa kimtego!
 
Usalama wa taifa wameichoka ccm wanaacha haya yafanyike makusudi ili umma uamke sio bure.
 
si tu kujaza fomu hata juandika majina yao kwa usahihi wamekosea.

mbaya zaidi hawajajiandikisha kwenye daftari la mtaa ikimaanisha sio wakazi wa maeneo husika :pulpTRAVOLTA:
20241108_210622.jpg
 
si tu kujaza fomu hata juandika majina yao kwa usahihi wamekosea.

mbaya zaidi hawajajiandikisha kwenye daftari la mtaa ikimaanisha sio wakazi wa maeneo husika :pulpTRAVOLTA:
20241111_162223.jpg

Huyo mwana ccm amejaza amezaliwa 2024 sasa unalipi la kuongea?
 
Wanafikiri wanaikomoa Chadema......akili ndogo ni akili ndogo tu hata ikeshe Chuo Kikuu
 
anaelazimisha kushinda kura kwa hila tutamshtakia kwa MUNGU ili MUNGU aingilie kati kabla muda wa utawala wa dhulmati kukamilika
 
Hivi kama kujaza fomu kama Ni muhimu Ni kwanini wahusika hawatoi hiyo huduma ama inapatikana Kwa baadhi ya vyama tu? Na Je, kama inatokea tume inabaini makosa kiasi hiki katika nchi Ni Nini kinafanya mchakato uendelee Badala ya kureview upya Huo mchakato? Uchaguzi Ni fursa Kwa wananchi ama ama Ni hisani??
 
Taifa letu linaharibiwa na ccm wasio kubali kushindana kwa haki.Wamekubuhu katika kupora haki ya wananchi.
 
Wakati CCM wanafanya semina Kwa wagombea wao kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Mbowe na Lisu walikuwa bize Kwa kuratibu maandamano
Acha wavune walichopanda
 
Unauliz
Wakuu nikiri Mimi ni muumini wa haki bila kujali chama chochote Cha kisiasa.

Maslahi ya taifa na nchi yetu ndo muhimu zaidi kuliko maslahi ya chama au maslahi ya Kiongozi yoyote kwenye nchi hii

Nianze kunukuu maandiko ya Mfalme mwenye hekima aliyeandika na ukaingia kwenye maandiko Mtakatifu

34 Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote. Mithali 14:34

Msingi wa haki ni kuanza kuchagua viongozi kwa misingi ya haki. Tusitegemea kiongozi aliyechaguliwa pasipo haki atende haki.

Aibu kubwa tuliyonayo kwenye maeneo mengi ya Taifa lenye rasilimali za kutosha kujiendendesha lenyewe sababu majawapo ni Rushwa

Hili ni la kukemewa mapema Kila chama kipambane kivyake kwa haki atakayeshinda ashinde
wanalipekeka wapi wakati wenzako washalifikisha? Hawa jamaa ni hatari sana. Wao kwao haki ni neno jipya vocabulary. Hawaijui. Washazoea vya kunyonga
 
Gentleman, that is fake,
mgombea huyo yuko kwenye ballot papers,

nanyi wapotoshwaji endeleeni kubabaika, kujidanganya na kujipotosha kwa kujifariji na uongo. Hakuna huruma kwenye sheria 🐒
20241111_212313.jpg
 
Back
Top Bottom