LGE2024 Ni kweli asilimia kubwa Chadema ndiyo hawajui kujaza fomu? Na ikiwa ni hujuma wanataka kulipekeleka wapi Taifa letu?

LGE2024 Ni kweli asilimia kubwa Chadema ndiyo hawajui kujaza fomu? Na ikiwa ni hujuma wanataka kulipekeleka wapi Taifa letu?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Yaani ni Ujinga mtupu unaendela. Haiwezekani, Wapinzani peke yao tu washindwe kujaza hizo form halafu CCM wote wakaweza. Unless CCM ni tofauti na Watanzania wengine.

In fact walioupinzani wengi wao wamesoma na wamefunguka zaidi kiakili kuliko walioko CCM .... Hiyo ni fact hata kama kuna atakayepinga. Yaani, kama Msukuma au Maji Marefu (RIP)wanaweza kujaza form vizuri kweli kuna mgombea mgombea atashindwa..!?
Tukiendesha chaguzi kihuni tutarajie viongozi wahuni na hakuna maendeleo ya kihuni
 
Unauliz

wanalipekeka wapi wakati wenzako washalifikisha? Hawa jamaa ni hatari sana. Wao kwao haki ni neno jipya vocabulary. Hawaijui. Washazoea vya kunyonga
Miaka 60 ya uhuru tanafanya kampeni za maji ya kunywa ndo hapo tumefika
 
Wakati CCM wanafanya semina Kwa wagombea wao kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa Mbowe na Lisu walikuwa bize Kwa kuratibu maandamano
Acha wavune walichopanda
Kama Kuna haja Semina na elimu ya ujazaji fomu zinapaswa kutolewa na tume ya uchaguzi kwa wagombea wote
Maana ndo wanaandaa hizo fomu sio ccm
 
Back
Top Bottom