ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 148
Kuna engineering math huko ya kufa mtu..kama ulisoma bam yako topic tatu unapata S huko lazima ukae..but ni jitihada yako
Mkuu ushasoma hata semister moja?? Umejuaje kwamba atakaa akat hujasoma hata wiki moja chuon!! Hamna somo zuri kama maths chuon hasa kwa engineering!!!