Ni kweli au watu wanazusha!

Ni kweli au watu wanazusha!

Kuna engineering math huko ya kufa mtu..kama ulisoma bam yako topic tatu unapata S huko lazima ukae..but ni jitihada yako

Mkuu ushasoma hata semister moja?? Umejuaje kwamba atakaa akat hujasoma hata wiki moja chuon!! Hamna somo zuri kama maths chuon hasa kwa engineering!!!
 
DULLAHYO asikwambie mtu hiyo kozi iko safi sana na ujue elim ya chuo siosawa na alevo!!! Nenda kakomae na usikatishwe tamaa na maneno ya hum!!! Karib sana katika ulimwengu wa engineering...
 
Last edited by a moderator:
maths ni balaa

Hakuna somo rahisi kama maths!Formula ni zile zile ama usome TZ au Ulaya au USA au popote pale;sana sana wanabadili tu lugha!

Hii nadharia sijui hii kozi ni ngumu mnaitoa wapi?Je hamna watu kwenye kozi hizo walitoka na GPA za maana?Hamna kozi ngumu wala hamna degree nyepesi!

Soma kwa bidii
 
Mkuu hesabu zenyewe wanazo zisema ngumu ukiziona utacheka!

Wala hazizidi hata Calculas # 2 na topic zingine ni element of calculas tu!

Mimi nashangaa mtu anakuja hapa kuuliza watu wengine ugumu na urahisi wa somo, wakati ni subjective

Mwengine atakwambia somo fulani ni gumu kwa sababu hajaweza kupata zaidi ya marks 90 kwenye mitihani yake wakati mwengine hiyo mbona inamthibitishia kuwa somo hilo ni jepesi!
 
Mkuu ushasoma hata semister moja?? Umejuaje kwamba atakaa akat hujasoma hata wiki moja chuon!! Hamna somo zuri kama maths chuon hasa kwa engineering!!!

Nimeshafatilia kila kitu..mm siendi kusoma kufuata mkumbo..nakwenda kusoma course ninayoipenda..nimefanya research kwanza..so wengine hawajiamini kwa sababu sioni sababu unasoma PCB then unakwenda engineering..it means alikua hajiamin au?kwann asidome PCM tokea mwanzo..halafu eti tupate maengineer bora..!!hapa ameshaanza kuogopa..so usikasirike tukimtisha coz tumeona hajiamini..
 
unajua kila ki2 ni kigumu kama huna malengo nacho na hujakipenda basi utateseka...
 
daah! umenifany nicheke kwa saut mbele za watu, af wameniangalia si ntaonekana chizi! ila asiogope kawaida 2!

acha kutishana hata kama mtu alisoma pcb ila chuoni kuna engineering maths and mechanical maths mtu aki2lia anatoka sio kama pcb wote hawajui maths.
 
acha kutishana hata kama mtu alisoma pcb ila chuoni kuna engineering maths and mechanical maths mtu aki2lia anatoka sio kama pcb wote hawajui maths.

we vpii kwan mi nimekwambia hujui math! xoma na uelewe nilicho andika bhana!
 
Back
Top Bottom