Ni kweli biashara za ziwani au baharini na madini bila uchawi hautoboi?

Ni kweli biashara za ziwani au baharini na madini bila uchawi hautoboi?

Yohimbe bark

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
2,160
Reaction score
5,728
Habari wakuu, hivi ni kweli biashara hizi bila ndumba hutoboi? Sisi wengine tupo kati kwa Mungu kama hatupo na kwenye ndumba ni weupe kabisa ila ndio hivyo tunaforce hivyo hivyo. Mimi nimeanza biashara za ziwani ila mambo ninayoambiwa hadi naogopa, wanasema watu wamekuja na mitaji yao wamepotea so kua makini.
 
Habari wakuu, hivi ni kweli biashara hizi bila ndumba hutoboi? Sisi wengine tupo kati kwa Mungu kama hatupo na kwenye ndumba ni weupe kabisa ila ndio hivyo tunaforce hivyo hivyo. Mimi nimeanza biashara za ziwani ila mambo ninayoambiwa hadi naogopa, wanasema watu wamekuja na mitaji yao wamepotea so kua makini.
Ndo iko hivo kiongozi
 
Habari wakuu, hivi ni kweli biashara hizi bila ndumba hutoboi? Sisi wengine tupo kati kwa Mungu kama hatupo na kwenye ndumba ni weupe kabisa ila ndio hivyo tunaforce hivyo hivyo. Mimi nimeanza biashara za ziwani ila mambo ninayoambiwa hadi naogopa, wanasema watu wamekuja na mitaji yao wamepotea so kua makini.
Vingine sio ndumba bali ni mambo ya kimila na taratibu za kwenda huko
 
Mi nnachojua biashara nyingi zunazohusu spirit sio rahisi kutoboa hivi hivi,ziwa,baharia,madini ni sacred yaani zinakuwa controlled na roho asikudanganye MTU eti utaenda kuchukua hizo resources kawaida kawaida Tu,hata kama utasali Ila umesha intervene spirit!
 
Mi nnachojua biashara nyingi zunazohusu spirit sio rahisi kutoboa hivi hivi,ziwa,baharia,madini ni sacred yaani zinakuwa controlled na roho asikudanganye MTU eti utaenda kuchukua hizo resources kawaida kawaida Tu,hata kama utasali Ila umesha intervene spirit!
Hata ajira siku hizi kama huwangi kuoboa ni ngum sana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1723284350115.jpg
    FB_IMG_1723284350115.jpg
    51.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom