Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Yaan Mungu anapanga mauwaji? Jamn mtamsingizia Mungu mpka lini?Yote Mungu ndio mpangaji...
Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika kabla eneo hilo kupewa umiliki kwa Ubelgiji baada ya ushirikia wao katika vita vya kwanza ya dunia.Jana Julai mosi, wananchi wa Burundi waliadhimisha miaka 60 tangu nchi yao ilipojipatia uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Ubelgiji Jumapili ya Julai mosi, 1962. Mwaka moja kabla ya siku ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi wa Umoja Mataifa na chama kilichoshinda katika uchaguzi huo UPRONA kilichoongozwa na mwanamfalme Mtutsi Louis Rwagasore, aliyemuoa mwanamke wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili.
Hata hivyo, Jumamosi ya Oktoba 13, 1962 Rwagasore aliyefikiriwa kuwa alikuwa anajenga uelewano wa kuishi pamoja kati ya Watutsi na Wahutu, aliuawa. Kifo chake kilikatisha ndoto ya shirikisho la Tanganyika na Burundi alilokuwa nalo Mwalimu Julius Nyerere.
Tanganyika ilipata uhuru Desemba 9, 1961 na baadaye ikawa Jamhuri Desemba 1962. Baada ya Uhuru wa Tanganyika katika hotuba yake kwa mkutano wa mwaka wa chama cha Tanu mwaka 1962, Mwalimu Nyerere alionyesha wazi kufadhaishwa kwake kulikotokana na mauaji ya Rwagasore.
Soma zaidi Gazeti la Mwananchi leo Jumamosi Julai 2,2022View attachment 2280084
Mungu anapanga wauane?Yooo bhooojhooo?Yote Mungu ndio mpangaji...
Kuna nchi, dar es salaam kama mji ni mkubwa kuliko zenyewe na ni nchi tajiri, mfano ndio washataja watu huko juu, singapore, vatican, luxermborg etcKama zenji eti nayo ni nchi na inajitutumua..
Zenji ilipaswa iwe mkoa ama wilaya kama ilivyo mafia.
#MaendeleoHayanaChama
Zenji ilikuwepo kabla ya Tanganyika, usilinganishe na Ruanda Urundi.Kama zenji eti nayo ni nchi na inajitutumua..
Zenji ilipaswa iwe mkoa ama wilaya kama ilivyo mafia.
#MaendeleoHayanaChama
Ruanda-Urundi (ndivyo ilivyokuwa ikiitwa) mpaka eneo la Congo zilikuwa sehemu ya utawala wa Tippu Tip wakati wa biashara ya meno ya tembo na kutafuta watumwa. Alikuja kuporwa na Ubelgiji.Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika kabla eneo hilo kupewa umiliki kwa Ubelgiji baada ya ushirikia wao katika vita vya kwanza ya dunia.
Pia inasemekana Kenya ilikuwa landlocked hivyo sehemu ya Mombasa ili ipate bandari na Kenya ikatoa eneo lenye mlima Kilimanjaro, sehemu ya Arusha pamoja na ziwa Natron kwa Tanganyika kipindi hicho.
Hamna nchi hapo, wilaya tuUnajua ukubwa wa nchi Singapore ni kmsq 728.6 tu (yaani Mia saba ishirini na usheee hapo, hawana hata kilomita za mraba buku? Na population Yao Ni watu mil 5.6 huku GDP Yao Ni $340bil.
Ni shiiiiiiiiiiiiida.
Na mbaya zaidi kila kitu hadi maji anaimport kutoka nchi zingineUnajua ukubwa wa nchi Singapore ni kmsq 728.6 tu (yaani Mia saba ishirini na usheee hapo, hawana hata kilomita za mraba buku? Na population Yao Ni watu mil 5.6 huku GDP Yao Ni $340bil.
Ni shiiiiiiiiiiiiida.
Uzuri pesa anayo,yaani Singapore na yeye Kuna Muda akiangalia kwny ramani anakua anasema hivi inawezekanaje kunakua na nchi kubwa hivi huko dunianizenye kila kitu na bado tumemezizidi kiuchumi kwa mbali hivi.That's life.Na mbaya zaidi kila kitu hadi maji anaimport kutoka nchi zingine
Motivational speakers bana πππππHamna nchi hapo, wilaya tu
Kuna katibu mkuu wa Zamani wa CNDD-FDD ni mpwa wa Mustafa Nyang'anyi wa Rufiji.Warundi ni ndugu zetu wa damu kabisa kuliko Wanyarwanda. I love these people. Hongereni sana Warundi kwa kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wenu.
Mwenyezi Mungu aendelee hivyo hivyo kuwajalia moyo wa kuwaona Watanganyika kama ndugu zenu wa damu. Hakika nyinyi ni watu msio na makuu, majivuno na kujimwambafai kama Wanyarwanda.
Kwani zilishaungana?Mhhh!! Ziungane mara mbili??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana ingeitwa TABURU nyerere asingekubari lianze jina lao, hahahahaNchi ingeitwa BURUTA
Nimewakilisha jina
Ingeitwa TANGABURU.Hapana ingeitwa TABURU nyerere asingekubari lianze jina lao, hahahaha
TangaburuzaniaIngeitwa TANGABURU.