mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Magufuli alikua kituko, jina lake linavutia watu.View attachment 3080449
Iliitwa DC motemapembe
View attachment 3080452
Wachezaji wake wameonekana wamevaa jezi ya magufuli
Ipo siku utashindwa kushika mimba ya mumeo halafu utamsingizia JPMMagufuli alikua kituko, jina lake linavutia watu.
Jina kuandikwa mbele ya jezi haimaanishi ndilo jina la timu husika. Kama ni hivyo basi Yanga ingeitwa Sportpesa Fc, Simba ingeitwa M-Bet Fc, Arsenenga na Real Madrid zingeitwa Fly Emirates Fc, nk!!View attachment 3080449
Iliitwa DC motemapembe
View attachment 3080452
Wachezaji wake wameonekana wamevaa jezi ya magufuli
Cha ajabu babako ni kituko lakini havutiiMagufuli alikua kituko, jina lake linavutia watu.
Muanzisha uzi kama sio mbumbumbu sijuiView attachment 3080449
Iliitwa DC motemapembe
View attachment 3080452
Wachezaji wake wameonekana wamevaa jezi ya magufuli
SawaMuanzisha uzi kama sio mbumbumbu sijui