Ni kweli deni la taifa limepanda kwa zaidi ya trioni 5 kwa sababu ya kuimarika kwa Dola ya Marekani?

Ni kweli deni la taifa limepanda kwa zaidi ya trioni 5 kwa sababu ya kuimarika kwa Dola ya Marekani?

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Wakuu nipo nafanya individual assessment hapa. Wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya mwaka huu wa fedha 2024/2025 waziri wa fedha alisema kuwa deni la taifa limeongezeka kwa sababu shilingi yetu imedorora dhidi ya dollar ya Marekani.

Zaidi ya shilingi za kitanzania tirioni 5 zimeogezeka kwa sababu ya kuimarika kwa Dollar ya Marekani. Wakuu hapa Kuna namna wakuu hii pesa ni ndefu mno asee. Yaani trioni 5 zote ndani ya mwaka? Hapana wakuu kichwa kimewaka kinyama hapa sielewi.
 
Haisomi kabisa naona kama tumepigwa hatari.
 
Sasa kama 1usd =2650.34 hii n kwa rate ya leo hii.

Labda kwenye makubaliano hakuna standard rate ya kulipia deni maana hua zinapanda na kushuka.

Na je ikitokea tsh imeiimarika 1usd=1500tshs watakubali kupokea hela yao maana itapungua.
 
Sasa kama 1usd =2650.34 hii n kwa rate ya leo hii.

Labda kwenye makubaliano hakuna standard rate ya kulipia deni maana hua zinapanda na kushuka.

Na je ikitokea tsh imeiimarika 1usd=1500tshs watakubali kupokea hela yao maana itapungua.
Hata kama Mzee pesa tirioni 5 ni zaidi ya USD 2 billion.
 
Uchumi wetu unakuwa kwa asilimia 5 halafu mkopo unapanda kwa zaidi ya asilimia 7 kweli?
 
Deni lipo denominated in dollar terms , external borrowing hapa ndo nagusia.
It fluctuates kulingana na rate ya exchange , inaongezeka kwa kuwa currency yetu inaslide kila kukicha. Hali Itazidi kuwa mbaya kila kukicha , the only solution wanayo ni borrowing which will make the debt balloon even more .
Kama kuhonga jenga in the next ten 10 years mbele sioni unafuu wowote.
 
Deni lipo denominated in dollar terms , external borrowing hapa ndo nagusia.
It fluctuates kulingana na rate ya exchange , inaongezeka kwa kuwa currency yetu inaslide kila kukicha. Hali Itazidi kuwa mbaya kila kukicha , the only solution wanayo ni borrowing which will make the debt balloon even more .
Kama kuhonga jenga in the next ten 10 years mbele sioni unafuu wowote.
Suluhisho la suala hili ni lipi mkuu
 
Wakuu nipo nafanya individual assessment hapa. Wakati wa uwasilishaji wa bajeti ya mwaka huu wa fedha 2024/2025 waziri wa fedha alisema kuwa deni la taifa limeongezeka kwa sababu shilingi yetu imedorora dhidi ya dollar ya Marekani. Zaidi ya shilingi za kitanzania tirioni 5 zimeogezeka kwa sababu ya kuimarika kwa Dollar ya Marekani. Wakuu hapa Kuna namna wakuu hii pesa ni ndefu mno asee. Yaani trioni 5 zote ndani ya mwaka? Hapana wakuu kichwa kimewaka kinyama hapa sielewi.
Mbona ni hesabu rahisi tu hizo,piga hesabu
 
Kuna uhusiani gani wa uchumi kukua na mkopo kukua?..watanzania wengi wavivu kufikiri
Wewe huoni ninacholenga hapo? Deni kama litakuwa linaongezeka kwa asilimia 7 huku GPD ikikua kwa asilia 4 unaona Kuna unafuu hapo?
 
Wewe huoni ninacholenga hapo? Deni kama litakuwa linaongezeka kwa asilimia 7 huku GPD ikikua kwa asilia 4 unaona Kuna unafuu hapo?
Hii siyo logic kwenye comment yako,na wamesema ongezeko la deni kwa kuwa shilling ime-depreciate
 
Deni billions of dollars piga Mara ongezeko
Dola haijapanda kwa zaidi ya shilingi mia 4 hilo kumbuka, kingine madeni mengine ni ya ndani ambayo hayahusiani na dollars za Marekani. Hapa Kuna vizi chiefu.
 
Back
Top Bottom