JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Ni kweli!
Kwa sisi tulioko machimboni hili ni kweli kabisa, Dhahabu iliyokamuliwa kabla haijachomwa, usipoifunga na kitu chochote aither kwenye kanga ama kitambaa, inapotea!
Nimepoteza dhahabu ndogo mara 2 kwa kuweka kwenye kasha la kiberiti bila kuifunga.
Leo tu nimejisahau tena nimepoteza ingine niliiweka wenye kasha la kiberiti bila kuifunga...nikiwa nimetoka kukamua tu kwenye mekiri. Kama nusu gram hivi(point5)
Kwa sisi tulioko machimboni hili ni kweli kabisa, Dhahabu iliyokamuliwa kabla haijachomwa, usipoifunga na kitu chochote aither kwenye kanga ama kitambaa, inapotea!
Nimepoteza dhahabu ndogo mara 2 kwa kuweka kwenye kasha la kiberiti bila kuifunga.
Leo tu nimejisahau tena nimepoteza ingine niliiweka wenye kasha la kiberiti bila kuifunga...nikiwa nimetoka kukamua tu kwenye mekiri. Kama nusu gram hivi(point5)