Ni kweli dhahabu ina tabia ya kupotea kimazingara?

Ni kweli!
Kwa sisi tulioko machimboni hili ni kweli kabisa, Dhahabu iliyokamuliwa kabla haijachomwa, usipoifunga na kitu chochote aither kwenye kanga ama kitambaa, inapotea!

Nimepoteza dhahabu ndogo mara 2 kwa kuweka kwenye kasha la kiberiti bila kuifunga.

Leo tu nimejisahau tena nimepoteza ingine niliiweka wenye kasha la kiberiti bila kuifunga...nikiwa nimetoka kukamua tu kwenye mekiri. Kama nusu gram hivi(point5)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…