Ni kweli Diamond anashuka?

Ni kweli Diamond anashuka?

IBM2014

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
929
Reaction score
169
Jamani wadau nataka kufahamu hivi ni kweli dogo diamond anashuka umaarufu na kimziki i heard some people say so na wamenikera coz namkubali sna dgo na namuombea sana asonge mbele.ila hawa wadau wananikwaza je ni kweli dgo ana drop?
 
Diamond yupo juu tena juu magazeti ya shigogo ndio yanayo mponda plutnum watashindwa wamtangaze mganga feki waliomuwanda kwa kumpomda plutanum
 
Mmmm binamu wacha hizo!!!!!!

Nimevuka mipaka binamu eeh? Tatizo muongo muongo sana, anajifanya ana hela kumbe wapi, nasikia na ile Prado ya chief kiumbe mwenyewe kachukua ipo yard kachube inapigwa bei, hana nyumba yeyote isipokuwa ile ya tegeta anayojenga miaka nenda rudi, halaf ndo anasema kwenye account ana zaidi ya billion kweli binamu? Au namsingizia? Uwe na billion kwenye account halaf uish nyumba ya kupanga, ebu changanya akili za kuambiwa na za kwako utapata jibu, japokuwa inasemekana yeye analipwa pesa nyingi kuliko wenzie ila bado hana pesa za kihivyo, alitak kununua hyo Prado kwa kiumbe hela ikamshinda mwenyewe kachukua chake
 
Mmmhhhh hh bado hajashuka banaa!!

Haya alidanganya kanunua sijui mtaa mzima mwananyamala hakuna cha mtaa wala kibanda alichonunua, maana tungeona kwenye picha tu, tatizo anapenda sana sifa wakat hata hela zenyewe hana. binamu unakumbuka vile vifaa ambavyo ndomo aliahid kuvinunua baada ya wiki mbili? Na ile nyumba aliyoahid kumnunulia wema?
 
Haya alidanganya kanunua sijui mtaa mzima mwananyamala hakuna cha mtaa wala kibanda alichonunua, maana tungeona kwenye picha tu, tatizo anapenda sana sifa wakat hata hela zenyewe hana. binamu unakumbuka vile vifaa ambavyo ndomo aliahid kuvinunua baada ya wiki mbili? Na ile nyumba aliyoahid kumnunulia wema?

hahahah kp it up brodah
data zote za mastaa ww ndo source yangu!!
 
Haya alidanganya kanunua sijui mtaa mzima mwananyamala hakuna cha mtaa wala kibanda alichonunua, maana tungeona kwenye picha tu, tatizo anapenda sana sifa wakat hata hela zenyewe hana. binamu unakumbuka vile vifaa ambavyo ndomo aliahid kuvinunua baada ya wiki mbili? Na ile nyumba aliyoahid kumnunulia wema?

Hivi ashamnunuliaa??
 
Nimevuka mipaka binamu eeh? Tatizo muongo muongo sana, anajifanya ana hela kumbe wapi, nasikia na ile Prado ya chief kiumbe mwenyewe kachukua ipo yard kachube inapigwa bei, hana nyumba yeyote isipokuwa ile ya tegeta anayojenga miaka nenda rudi, halaf ndo anasema kwenye account ana zaidi ya billion kweli binamu? Au namsingizia? Uwe na billion kwenye account halaf uish nyumba ya kupanga, ebu changanya akili za kuambiwa na za kwako utapata jibu, japokuwa inasemekana yeye analipwa pesa nyingi kuliko wenzie ila bado hana pesa za kihivyo, alitak kununua hyo Prado kwa kiumbe hela ikamshinda mwenyewe kachukua chake

Lakin binamu hapa tunaongelea kimziki au sio mafanikio yakee!!!!!!!!
 
Lakin binamu hapa tunaongelea kimziki au sio mafanikio yakee!!!!!!!!

Najua binamu, ila kaka yako siku izi sio tishio kama miaka ya nyuma, japokuwa nasikia sijui nyimbo yake imeshika namba moja cjui trace, apa binamu uwe mpole bhana ndug yako anakaribia kuchikichia, tatizo anaendekeza sana stareh na vipochi manyoya aka vipwapwiso
 
Najua binamu, ila kaka yako siku izi sio tishio kama miaka ya nyuma, japokuwa nasikia sijui nyimbo yake imeshika namba moja cjui trace, apa binamu uwe mpole bhana ndug yako anakaribia kuchikichia, tatizo anaendekeza sana stareh na vipochi manyoya aka vipwapwiso

Una maneno wewe!! eti vipwapwiso.
 
Najua binamu, ila kaka yako siku izi sio tishio kama miaka ya nyuma, japokuwa nasikia sijui nyimbo yake imeshika namba moja cjui trace, apa binamu uwe mpole bhana ndug yako anakaribia kuchikichia, tatizo anaendekeza sana stareh na vipochi manyoya aka vipwapwiso

Ntake radhii sina kaka anaebadilisha wanawake kama boxer yake!!!!atakomaje mwache aendekeze vipochi manyoya vya kina Wemaa atakalia kutuonyesha swiming pool kila siku
 
Ntake radhii sina kaka anaebadilisha wanawake kama boxer yake!!!!atakomaje mwache aendekeze vipochi manyoya vya kina Wemaa atakalia kutuonyesha swiming pool kila siku

Naona unamtetea nikajua una ubia nae..
 
Back
Top Bottom