Pole mkuu taratibu utazoeaizo promo tu hamna jipya
Mbongo umekaa namajungu2 unatamani kuona mwenzako akishuka,,,,,, ok kazana dada kuwaombea wenzako mabayahuku mtaani kuna stori zinasambaa sana kuwa huyu bwana mdogo mond kuwa now anapumulia mashine kutokana na ngoma zake kutofanya vizur mtaan hata kwenye rotation za tv na radio.....
hata ukifatilia kwa umakini kwenye upigaji kura wa tunzo mbali mbali jamaa anakimbizwa sana na hasimu wake mkubwa bwana zamunda......
kwa maoni yangu navoona muda sio mrefu tutamsahau kabisa
ushaona mkuuu hakuns jipya kapwaya kila idarakila beats yake inatarumbeta unategemea nn ? mwambieni aje asiogope
Basi ndo unafuraaaaaiiiiiii mwenzio akishuka[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]dada labda baba ako
hata kuimba hauimbiki bora hata wimbo wa nana ulitrend sanaushaona mkuuu hakuns jipya kapwaya kila idara
Mwenzao nyimbo zake duniani huko bbc wanacheza huyu mwingine bado anashangilia kupigwa sibuka fm na jembe fmna bado mta-hate sana mwenzenu bbc wanacheza ngoma zake kila wiki
Usimwite bwana mdogo wakati mwenzako ana maisha yake level kubwa na kashajitengenezea jina duniani tofauti na wewe unayetafuta umaarufu huku JFkuwa huyu bwana mdogo mond
Mwenzao nyimbo zake duniani huko bbc wanacheza huyu mwingine bado anashangilia kupigwa sibuka fm na jembe fm
aje ipo ndani ya music apps za streaming zaid ya 700 dunian asa nani anatengeneza mkwanja mwing zaidna kikubwa zaid ni kwamba jamaa anaingiza pesa kila dakika kule iTunes kwa wimbo huu wa kidogo watu wa mataifa ya nje wananunua sana.. acha waendelee kumpa moyo msanii wao anaeuza ngoma mkito
Hahaha stream 700 nenda spotify ukaone balaa la kidogo tayari zaidi ya 3000aje ipo ndani ya music apps za streaming zaid ya 700 dunian asa nani anatengeneza mkwanja mwing zaid