Ni kweli Diamond na Zari Wanataka Kuachana? Ni kweli Diamond kahamishia Majeshi kwa Lyn?

Dada nakutakia siku njema wengine magroup ya WhatsApp hatujajiunga.

Mkuu jiheshimu uheshimiwe,usichokielewa kwa asia ni nn labda??ukiona mada haikuhusu pita kushoto cio kila ki2 mpka ucomment,kma cio umbeya ni nn ati!!!!???
 
Mkuu jiheshimu uheshimiwe,usichokielewa kwa asia ni nn labda??ukiona mada haikuhusu pita kushoto cio kila ki2 mpka ucomment,kma cio umbeya ni nn ati!!!!???
Kwi kwi kwi kwi kwi!!! Mna kapani hadi nimewapenda!! Ngoja nipite huko kushoto mbaya zaidi ni pale ninapofahamu kuwa kuna waliokuwa marafiki hapa JF wanaochukizwa na Diamond na Zari ila wanatumia ID zaidi ya tatu. Mimi nishaanza kushoto mama.
 
Mkuu jiheshimu uheshimiwe,usichokielewa kwa asia ni nn labda??ukiona mada haikuhusu pita kushoto cio kila ki2 mpka ucomment,kma cio umbeya ni nn ati!!!!???
Ajiheshimu kivipi sasa kama huyo shoga yako kam quote na kujitia ujuaji na maneno mengi!?
 
Wewe danya ni wakiume au wakike...kama wakike basi mama kwa ubuyuu umeivaaa ila kama wakiume mzazi kaumia mtoto wa kiume hizi dalili sio nzuri
 
by da way, yule zari si Mzee ? In any case they must divorce for the sake of plighting Tanzanian ladies ,that ,this is our home boy his tears and sweats have to cherish the home land first. but count me out I am not DSM dweller.
 
Wavulana wa dar katika ubora wao
 



Sasa sisi inatuhusu nini huu uchafu

Peleka uchafu kwa wajinga wenzako

Hapo hata ela ya Kula huna unatuma habari za uchafu sisi hao wanatuhusu nini waachane , wauwane watajua wenyewe
 
Pamoja na kuwa Diamond ana kiasi fulani cha utoto pengine kwa kuwa na uwezo akiwa na umri mdogo bado ana hitaji sana mshauri wa karibu na hilo silioni kwa mama yake wala ndugu yake yoyote ila huyo mama mtoto wake anaye onekana pamoja na kuwa na mapenzi ya dhati kwa Diamond pia ana ukomavu wa maisha na ana jiweza tofauti na hivyo visichana anavyo husishwa navyo kama kuna ukweli, na hata alio kuwa nao kabla ambao wote ni kina "I love you Pochi lako tu" nina mtakia heri na mafanikio zaidi,atulize kichwa na ajitambue sasa.
 
Huwa siwaelewi wanaume wa hapa JF, kila siku nyuz zinaanzishwa hapa kuwa mwanaume asioe mwanamke mwenye mtoto, eti hao ni wakuzalishwa tu, au unaonja then unasepa, nashangaa hapa watu wanataka Diamond asimuache Zari mwenye watoto wa3, hahaha! Labda Dai alisoma ushaur wenu humu ndo maana sasa anatafuta bint mbichi
 
Sasa sisi inatuhusu nini huu uchafu

Peleka uchafu kwa wajinga wenzako

Hapo hata ela ya Kula huna unatuma habari za uchafu sisi hao wanatuhusu nini waachane , wauwane watajua wenyewe
Kama tusinge kuwa tunapost hivi vitu hili jukwaa lisinge kuwepo
 
Reactions: me1
Mbona upo kwenye hili jukwaa?
Ni haki yangu kujifunza upande wa pili wa binadamu. Sijawahi kuishi nikawa busy kufuatilia maisha ya watu. Kuna baadhi ya wezako nafahamu wako hapa kwa ID tofauti lkn ni wapenzi wa kuombea negative life side kwa huyu kijana Diamond. Binafsi ili dunia ikamilike watu kama nyie mnatakiwa muwepo.
 
Tofauti ya Zari na wengine wote aliowahi kuwa nao Diamond-she is not in this relationship for the money again amemfundisha Diamond what is protocol-leo hii huyu Diamond sio mtoto wa Tandale anymore all because amestuka kumbe in this world not all are gold diggers
 
Umesoma nilicho andika au ulivyo sikia Dai basi ukashadadia kucomment hapa
 
Soma vzr unielewe,
 
Umesoma nilicho andika au ulivyo sikia Dai basi ukashadadia kucomment hapa
Sikiliza danya kwanza fahamu tumekulia mazigira tofauti hivyo sikushangai kama ni lifestyle yako ya kuumiza kichwa kufuatilia mtu flani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…