Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 We mzee wewe!"Afile munu Show show mandonga mtu kazi hadi inawaka moto".
Daah 😂😂😂, sanaa mnayakuza tu, lets wait and see though.Kuna muda anakua kama anashtuka shtuka hivi...
Au tuna kuza mambo....
Hii Kali kwa kweli huyu diamond tunayemuona kwenye series ya famous young?Kuna muda anakua kama anashtuka shtuka hivi...
Au tuna kuza mambo....
Meza unayoitingisha ina vinywaji vya bei ghali, kua makiniHow strange does he behave?
Anamfirazuchu ndicho alichomaanisha hapo usicheke sana😂😂 We mzee wewe!
Ndio takataka gani?Hii Kali kwa kweli huyu diamond tunayemuona kwenye series ya famous young?
Sawa sawaTuwape muda
Aendelee kumfirazuchu kwanza au sio?Sawa sawa
Duuuh Gigy dish limecheza yule.Alisema Gigy huwa wanabwia wote ndo wanafanya maloveee....kabla Zuchu hajamkazia Gigy asifike maeneo alipo bwana ake...
Aendelee kumfirazuchu kwanza au sio?
mambo gani hayo mange aliyarusha?Aliongea live...wakati ule Mange anarusha mambo ya kuchafua hali ya hewa..
Mkuu hata Kama hizi id zinatuhifazi… tuwe sensitive na maisha y watu wengineNdio takataka gani?
Kuna kipindi kulitokea kama mzozo wa Zuchu na gigy watu wanasema Dai anamtindua Gigy..Mange akapost akasema kweli na kuna video huyo Gigy alikiri..akasema huwa wakienda huko kwa Dai anapewa dawa kwanza wavute...mambo gani hayo mange aliyarusha?