Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Kuna picha moja inasambaa mitandaoni mtoto anasadikika kutekwa, kukatwa mkonona sehemu za siri huko Dodoma, na picha nyingine ya polisi Mkoa anasema mbwa wamekutwa na mkono wa mtoto. ninyi mnaoishi huko dodoma tuambieni, hali ipoje, si mnajua familia nyingi zimehamishiwa huko mkaacha wanaume tunapambana hapa DSM. we are worried.
hali kama hiyo hapa DSM ilishalalamikiwa, serikali haina intelijensia? wanashindwa nini kutokomeza hii hali once and for all? au haipo inajali tu uchaguzi wa mwakani.
hali kama hiyo hapa DSM ilishalalamikiwa, serikali haina intelijensia? wanashindwa nini kutokomeza hii hali once and for all? au haipo inajali tu uchaguzi wa mwakani.