DOKEZO Ni kweli hali ya upatikanaji huduma ya maji ni mbaya kiasi hiki? Wizara ya Maji tuambieni ukweli wa video hii

DOKEZO Ni kweli hali ya upatikanaji huduma ya maji ni mbaya kiasi hiki? Wizara ya Maji tuambieni ukweli wa video hii

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unakuta huyo mtu mmoja sio mmoja kama unavyomuona, unakuta ni syndicate ya watu hata 10 wakiwemo maafisa wa DAWASA, wanatengeneza tatizo la maji kwa makusudi(sababu hakuna ufuatiliaji) hili wapige hela kwa kuwauzia maji raia hapo mtaani.

Huu mkoa na mamlaka zake ni wa ovyo sana..

Ukitoka kuona hilo tatizo la maji ni bandia, subiri wakati wa masika maji huwa yanatoka hata mwezi mzima mfululizo na hakuna cha kuharibika miundo mbinu wala nini.

Ovyo sana hii nchi.
Ni upuuzi kila sehemu
 
Mvua zinaanza kunyesha kesho msiwe na wasi wasi🐼
 
Back
Top Bottom