Unakuta huyo mtu mmoja sio mmoja kama unavyomuona, unakuta ni syndicate ya watu hata 10 wakiwemo maafisa wa DAWASA, wanatengeneza tatizo la maji kwa makusudi(sababu hakuna ufuatiliaji) hili wapige hela kwa kuwauzia maji raia hapo mtaani.
Huu mkoa na mamlaka zake ni wa ovyo sana..
Ukitoka kuona hilo tatizo la maji ni bandia, subiri wakati wa masika maji huwa yanatoka hata mwezi mzima mfululizo na hakuna cha kuharibika miundo mbinu wala nini.
Ovyo sana hii nchi.