Ni kweli hapa Tz kuna Private Intelligence agency wako vizuri kiasi hiki ?

Ni kweli hapa Tz kuna Private Intelligence agency wako vizuri kiasi hiki ?

TISS itafanya kazi gani tena? au wataachwa walinde viongozi tu?...
 
umesikia wapi?
una link?

Mkuu njoo kinondoni hapa tukufanyie kazi yako. Hata ukitaka atiwe ukilema tu tunaeza niPM kwa mawasiliano zaid tuna tawi pia tandale kwa mtogole pia tandika
 
Sheria ya nchi inasemaje kuhusu hili suala maana wanaposema wanapata mpaka communications ina maana mpaka maongezi ya simu, sms,emails nk. Je, TCRA inasemaje kuhusu privacy za wateja wa makampuni ya sumu?!

Natural checks!!!!

I hope wanajua line za ku cross!!!!
Otherwise, i guess they have their "body bags" just in case!

Naamini aya mambo yapo kabisa. Coz issue imefanyika state-house, halafu unasikia CHADEMA wanairusha hewani bila ata chembe ya hofu(i.e kwa kujiamini kabisa).

So does CCM e.t.c !
 
samahani mkuu unzungumzia nini? mbona kama umechanganya habari hivi au mimi sijakuelewa



Mkuu;
Hope utakuwa umechanganywa na hapo kwenye "so does CCM e.t.c!" Hujui maana ya sentence hiyo au?

Kama unajua maana yake(jambo ambalo naamini ndio msingi wakutonielewa),nipe fasiri yake then kama kutakuwa na shida still, nikupe ufafanuzi.
 
Kuna jamaa wako Moshi
maeneno ya maili sita
Kama haki yako hukuipata mahakamani na una evidence
Basi hukulipizia kisasi kwa gharama nafuu

Hii imekaa poa saana, kuna vijana wengi wanafuzwa jeshi baada ya kupewa mafunzo likuki, wengine wamepita level kubwa za jeshi unategemea akafanye kazi gani
 
Mkuu;
Hope utakuwa umechanganywa na hapo kwenye "so does CCM e.t.c!" Hujui maana ya sentence hiyo au?

Kama unajua maana yake(jambo ambalo naamini ndio msingi wakutonielewa),nipe fasiri yake then kama kutakuwa na shida still, nikupe ufafanuzi.

tumenasa mawasiliano. sorry mkuu nilikuwa nimetoka usingizini
 

Attachments

  • 1423348317944.jpg
    1423348317944.jpg
    13 KB · Views: 338
Tena naona zimechelewa sana,kwa wenzetu ni mambo ya kawaida kabisa,naonawengi humu mnaopinga mmeguswa na Matrimonial Surveillance, Relationship Investigations

Utapeli mtupu.Siku hizi watu wanavyopenda kubwagana.Mapenzi na mahusiano mengi ya juu juu tu. Wala hawahitaji investigator awape sababu ya kubwagana au kuwathibitisha kuwa hawadanganyi.Wengi kila upande ni gereatest liars.
Kila mtu anatembea sasa hivi na concept ya buyer or customer beware.Hata hicho kikampuni pamoja na kuwa na ki-website koko ushauri wangu kwa kila mtu ni kuwa CUSTOMER BEWARE!!!!!!! kISWAHILI NI HIVI KILA ABIRIA ACHUNGE MZIGO WAKE WA FEDHA ASIJEKWAPULIWA NA KAMPUNI KOKO KAMA HII.
 
Naamini aya mambo yapo kabisa. Coz issue imefanyika state-house, halafu unasikia CHADEMA wanairusha hewani bila ata chembe ya hofu(i.e kwa kujiamini kabisa).

So does CCM e.t.c !

Info leakage na doubles sio private intel. kama inavyowekwa hapa!!!!
Hayo tu hayawezi ku justify
 
Death rate minimal to none
Au kama casualty zipo basi haziwi documented

Ila in America and UK private detective ni wengi sana

Ok nakumbuka (Cheaters) lakini sijui kama ile tunaweza kuiweka kwenye kundi la ujasusi/ ukachero!!!!!
Paparazzi zaid.........
 
Back
Top Bottom