Na sababu ya kuchagua J & J inavyoelezewa utunzaji wake ni jokovu za kawaida hivyo kwa kiasi inaendana na hali ya hewa ya Tanzania. Kuna nyingine zinahitaji friji maalum.
Lakini pia Dr Gwajima - Waziri watoe elimu ya kutosha - maana ni muhimu sana tena sana mtu kupima COVID kabla ya kupata chanjo. Kwa kupunguza gharama wanakwepa kupima watu na matokeo yake ni mabaya ukiwa na C-19 halafu ukachanjwa.
Mkuu chanjo ulizochanjwa maishani mwako au tuseme hata sindano za kawaida unazochomwa umeshawai ulizia zina expire lini?Ni kweli hizi chanjo zilizo letwa wiki tatu zilizopita hazina muda wa kuharibika?
Kati ya mambo ambayo yamewashinda kabisa wizara ya afya kwenye hili chanjo ya COVID ni kuweza kutoa elimu sahihi kwa wanchi kuhusu hii chanjo na katika hili wizara imekuwa ikikimbia maswali ya watu kwa kudhani kila anayeuliza maswali basi anapinga chanjo.
Suala la muda wa kutumika kwa chanjo husika baada ya kuletwa limekuwa likiulizwa sana japo halijawai kupata majibu yake kwani tumekuwa tukiona nchi zingine wakimwaga baadhi ya chanjo baada ya kuisha muda wake wa kutumika.
Hivi ni kweli Johnson & Johnson haina expire date?
Na kama ina expire date au muda wa kuisha matumizi kwanini haiwekwi wazi?
Ni kweli hizi chanjo million moja hata zikikaa hadi mwakani bado zitakuwa ni safi kwa matumizi ya binadamu?
Hizo chanjo ziliisha expire tangu zipo huko marekani, hayo yaache cha msingi kachanjeNi kweli hizi chanjo zilizo letwa wiki tatu zilizopita hazina muda wa kuharibika?
Kati ya mambo ambayo yamewashinda kabisa wizara ya afya kwenye hili chanjo ya COVID ni kuweza kutoa elimu sahihi kwa wanchi kuhusu hii chanjo na katika hili wizara imekuwa ikikimbia maswali ya watu kwa kudhani kila anayeuliza maswali basi anapinga chanjo.
Suala la muda wa kutumika kwa chanjo husika baada ya kuletwa limekuwa likiulizwa sana japo halijawai kupata majibu yake kwani tumekuwa tukiona nchi zingine wakimwaga baadhi ya chanjo baada ya kuisha muda wake wa kutumika.
Hivi ni kweli Johnson & Johnson haina expire date?
Na kama ina expire date au muda wa kuisha matumizi kwanini haiwekwi wazi?
Ni kweli hizi chanjo million moja hata zikikaa hadi mwakani bado zitakuwa ni safi kwa matumizi ya binadamu?
Kama umeamini mamlaka iliyokuchanja hizo chanjo nyingine ndio mamlaka hiyo hiyo inakuchanja hii ya Covid ie kwa hapa kwetu Wizaya ya Afya.mkuu hapa tunaongelea chanjo ya Covid kama unalo jibu liweke hapa
mkuu hapa tunaongelea chanjo ya Covid kama unalo jibu liweke hapa
aiseeee
Namimi ndio swali langu kwa wadau wa chanjoMatunzo ya hizi chanjo kwa kuzingatia muda wake wa matumizi ni kati ya sababu zilizopelekea chanjo za Mordena na J Johnson kukataliwa kwenye nchi moja ya EU... Sitaitaja hapa. Swali lako ni la msingi kabisa ila sidhani kama litajibiwa.... Usanii umeshika hatamu.
Kwa hiyo hizi za huku hazikutoka kiwanda cha marekani au?Mkuu hii umechukua kule google na hii ilikuwa mjadala kuhusu Johson & johnson kule marekani hii haina uhusiano na hizi zilizoletwa hapa.......
Hivi hakuna aliyefanikiwa kuona kichupa cha chanjo?
Hao ni wahuni tu uenda hii operation ya chanjo imelenga kuua members wa legacy ya magufuli kwa kuwachoma sumu specialNi kweli hizi chanjo zilizo letwa wiki tatu zilizopita hazina muda wa kuharibika?
Kati ya mambo ambayo yamewashinda kabisa wizara ya afya kwenye hili chanjo ya COVID ni kuweza kutoa elimu sahihi kwa wanchi kuhusu hii chanjo na katika hili wizara imekuwa ikikimbia maswali ya watu kwa kudhani kila anayeuliza maswali basi anapinga chanjo.
Suala la muda wa kutumika kwa chanjo husika baada ya kuletwa limekuwa likiulizwa sana japo halijawai kupata majibu yake kwani tumekuwa tukiona nchi zingine wakimwaga baadhi ya chanjo baada ya kuisha muda wake wa kutumika.
Hivi ni kweli Johnson & Johnson haina expire date?
Na kama ina expire date au muda wa kuisha matumizi kwanini haiwekwi wazi?
Ni kweli hizi chanjo million moja hata zikikaa hadi mwakani bado zitakuwa ni safi kwa matumizi ya binadamu?
Kwa nini haina uhusiano?Kwani chanjo si hiyohiyo?Mkuu hii umechukua kule google na hii ilikuwa mjadala kuhusu Johson & johnson kule marekani hii haina uhusiano na hizi zilizoletwa hapa.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115]mnafiki ulikuwa unamponda magu leo unasema mambo ya chanjo nchi haina serikali [emoji1787][emoji1787]tuliwaambia wapumbavu wanaofurahia kifo cha magu mtajuta naUsichokijua na ambacho hutakaa ujue ni kwamba nchi yako haina Serikali.
Hakuna kisichokuwa na muda wa kuisha na ndio maana zitakuja kwa batch. Hizi milioni 1 mwaka huu zinaweza zisitoboe. Ukiwa na wasiwasi, kabla ya kuchanjwa waombe uangalie tarehe ya kuisha muda wake.Mkuu swali linasema hizi chanjo zina muda wa kuisha matumizi?
Na kwa sisi wabongo unaweza kushangaa ukachanjwa hata kama zimeisha muda wakeNakumbuka mwanzoni walisema hizi zitadumu kwa siku saba ndio maana nimeuliza hili swali
CCM haijawahi kuipa Tanzania serikali.CCM ni kikundi cha kigaidi.Mimi adui yangu ni CCM wala siyo kiongozi fulani ndani ya CCM.Magufuli nilimpiga vita kwa sababu ni CCM na pia Samia nampiga vita kwa sababu ni CCM.CCM haijawahi kuwa na nia ya dhati na nchi hii.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115][emoji115]mnafiki ulikuwa unamponda magu leo unasema mambo ya chanjo nchi haina serikali [emoji1787][emoji1787]tuliwaambia wapumbavu wanaofurahia kifo cha magu mtajuta na
HALI ZENU ZA MWISHO ZITAKUWA MBAYA KULIKO ZA MWANZO