Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.

Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu. [emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

1655226098644.jpg
 
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.
Trako ndio limekuchanga hapo otherwise ni wa kawaida sana
 
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.

Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]View attachment 2260986
Ulimgawia nani tuakili twako mpwayungu?Kajinga weye!
 
Ndio maana Mh.Waziri amewasifu wanawake wanaongoza kulipa mikopo!! Sasa hapo kuna nn cha Ajabu...
 
Kwa kipi sasa adi unatak umkufuru Muumba wako
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.

Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu.
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]View attachment 2260986
 
Back
Top Bottom