Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

Sasa Hao kwanza maisha yao na yetu Kuna daraja kubwa sana linalotutenganisha, kama hicho kihalfcast cha kwanza ni maisha ya juu wanaishi sisi watoto wa manzese na buza ndotype zetu
Kwako tu mzee, mimi nawapata nikitaka na nitawapata tu.

Sasa unakubali kwamba hujawahi kuona wanawake wazuri, huwezi ukasema Passo ni bora na nzuri kuliko Mercedes Benz na BWM kwa sababu tu hauwezi kumiliki Mercedes na BMW hapo utakuwa unajiongopea mwenyewe.
 
Kwako tu mzee, mimi nawapata nikitaka na nitawapata tu.

Sasa unakubali kwamba hujawahi kuona wanawake wazuri, huwezi ukasema Passo ni bora na nzuri kuliko Mercedes Benz na BWM kwa sababu tu hauwezi kumiliki Mercedes na BMW hapo utakuwa unajiongopea mwenyewe.
Aya Sawa nenda kawachukue bc maana una ligi sana wewe dogo
 
Kizuri kwako sio lazima kiwe kizuri kwa wote. mwisho wa nukuu.
 
Mapenzi Upofu,,,,, unachoona wewe sisi hatukioni
 
Tatizo lenu hamtembei fanya ziara hata ya nwezi Babati, hiko kituko chako utakiona cha kawaida.
 
Ebu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.

Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu. [emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

View attachment 2260986
Kuna pisi kali zenye hipsi na trakooo zuli zenye rangi kali......... Sasa huyo Mwajuma Shaban nae ni pisi
 
Back
Top Bottom