Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Kwako tu mzee, mimi nawapata nikitaka na nitawapata tu.Sasa Hao kwanza maisha yao na yetu Kuna daraja kubwa sana linalotutenganisha, kama hicho kihalfcast cha kwanza ni maisha ya juu wanaishi sisi watoto wa manzese na buza ndotype zetu
Aya Sawa nenda kawachukue bc maana una ligi sana wewe dogoKwako tu mzee, mimi nawapata nikitaka na nitawapata tu.
Sasa unakubali kwamba hujawahi kuona wanawake wazuri, huwezi ukasema Passo ni bora na nzuri kuliko Mercedes Benz na BWM kwa sababu tu hauwezi kumiliki Mercedes na BMW hapo utakuwa unajiongopea mwenyewe.
Wacha wabovu bhana hakuna mzuri even oneKigoma wilaya ya Buhigwe, wamejaa wa namna hiyo tena wenye vichuguu zaidi ya huyo unayemsifia na chuchu utakuta ni saa sita kasolo,
Anajamba huyo[emoji2]
Muhimu point yangu umeipata.Aya Sawa nenda kawachukue bc maana una ligi sana wewe dogo
Mkuu wewe siumezungumzia shape na sio suraWacha wabovu bhana hakuna mzuri even one
SuraMkuu wewe siumezungumzia shape na sio sura
Kwa uzuri upi wa kuuza rasilimali zangu? Mbona wa kawaida tuHao waliompata huenda waliuza magari mpaka nyumba zao
Wewe ndoumechanganyikiwa baada ya kuona binadamu asiyekuwepo
Kuna pisi kali zenye hipsi na trakooo zuli zenye rangi kali......... Sasa huyo Mwajuma Shaban nae ni pisiEbu tuache kubuni vitu visivyokuwepo, ivi ni kweli kabisa huyu mdada mzuri kiasi hiki anaishi?. Basi kama ni kweli maisha anayopitia niyakero sana maana kila hatua mbili Gari zitagongana kila mtu akijitahidi kuweka dau lakuchukua rasilimali isiyohamishika.
Dah [emoji22], hii dunia inanipita sana tangu kuzaliwa Kwangu nimekuwa mtu wakuchukua mataputapu tu mijimama isiyoweza hata kutembea, sijui nitumie njia gani namm nipate uterezi kama huu hapa chini maana Kuna watu wanaifaidi hii dunia jamani, sisi tupotupo tu. [emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
View attachment 2260986
Huoni picha mkuuMkuu kapimwe macho inawezekana
Unapagawa na paja[emoji848]